100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,291
- 14,351
Jamaa ameimiso.Tatizo lako unavuto sano bango, Acho mambi yaajabo
Jamaa ameimiso.Tatizo lako unavuto sano bango, Acho mambi yaajabo
Kwelo na inaonekano anaipendoJamaa ameimiso.
Kuna Jamaa Anafuga Kuku, Bata, Kanga, Na Jamii Hiyo Anao Wengi Sanautalala nao chumbani mwako
Hebu fafanua kwanza kabla hatujakutukana! Hiyo nyumba umepanga peke yako au kuna wapangaji wengine na mwenye nyumba anakaa hapo hapo?Nipo kwa nyumba ya kupanga nimeagiza mbuzi wa kufuga, hapo napoishi kuna jamaa naona anafungia mbuzi kamba wanajilea tu, sina kwa kuwalaza usiku ila mchana haina shida.
Nawaza nikiwaleta nitawalaza wapi, naomba ushauri.
Kwamba mbuzi zilikauka juani mkuu
kichwa chako kizima sana, wengi hawajaelewa hiyo "pin-code"🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka saaana!! Looh! Labda ya Chuga; ana-share na Wadudu🤣🤣🤣🤣
ukute masta alikausha kwa mkaa ndio maana anatusumbua hapa jukwaani.
Hahaa hakika mkuuukute masta alikausha kwa mkaa ndio maana anatusumbua hapa jukwaani.