Nimefanikiwa tena kuwasha tv station

Nimefanikiwa tena kuwasha tv station

Kigger

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
870
Reaction score
814
Habari wadau miaka nyumba nilileta uzi kuwasha online radio,ambapo nilifanikiwa kuwa n kituo cha online radio ambacho ni kukubwa zaidi dunia nasema ivo kwa sababu kila nchi kunakituo cha Tz Gospel Radio mfano Tzgospel kenya, Tzgospel vatican, Tzgospel china, Tzgospel Brazil nk. Na vyote vinarusha matangazo sana yani ni kama kuwa na frequency kila nchi lakini kwa online link kila nchi tuna vituo 216.


Tuache aya,mwaka huu baada ya mapambano NIMEFANIKIWA KUWASHA TZ GOSPEL TV ipo azam other channel 27 ipo zuku na continental decoder kwa tanzania pamoja na milan cable channel 204 arusha.

Cha ajabu inangoza kutazamwa kwa sasa imekua tv ya 7 kutazamwa kwa azam imepanda kwa kasi mno hadi watu wa satellite wameshangaa.

IMG-20250415-WA0008.jpg
 
Kinaitwaje?
Kinapatikana je?
Hongera sana.
You're now growing faster.
 
Tz Gospel Tv ipo azam other channel 27 tupo zuku, continental decoder pia
 
Back
Top Bottom