Nimefanikiwa kuoa...

Nimefanikiwa kuoa...

Hongera mkuu! 2nasubiri uje utuhadithie vituko vya mimba ya mkeo hapa! Mungu awajalie ndoa yenu idumu!
 
Uje utupe feedback huku au siri ya urembo ili nasi tufanye hivyo.
 
Kwahiyo kila kitu manu manu bila hata chembe ya kikwazo?

Kwani ukimsikia Mpemba asema "Mama Haji panua paja mkwaju waja" ulidhani wanakuwa wameficha vifanyio vyao...!!!
 
MUNGU awaongoze mvuke mapito,.
Ushauri,, usipende kutembelea mara kwa mara hapa MMU...usije potoka
 
Back
Top Bottom