Nimefanikiwa kuingia Gamboshi - True Story

Nimefanikiwa kuingia Gamboshi - True Story

Nauli ni kutoka ulipo kwenda kwa mzee madeleke mkoani shinyanga. Kutoka hapo kila kitu anafanya yeye. Mimi kwa sasa nipo Dar es salaam, nipo Mbezi Beach karibu na kwa Joseph Kusaga.
Tuwasiliane tu.
Mkuu usiniache nataka sana, niko hapa salasala karibu na Kanisa la RC. kwa kusaga sehemu gani pale?
 
Nakuhakikishia..

1. Uchawi Hakunaa

2. Gamboshi ni sehemu kama sehemu zingine....Hakuna chochote huko...

3. Majini Hakunaaa

4. Waganga wa Kienyeji ni matepeli tuu kama walivyo matapeli wengine
Sifa kubwa ya mchawi ni unafiki, na upole uliopitiliza, ili abaki mwenyewe kwenye fani hiyo adimu peke yake na anaowajua

Mimi ni mchawi wa kurithi, najua tabia zetu. ila kwa sababu tunafundishana nayaweka wazi
 
Back
Top Bottom