Nimefanikiwa kubadili Kabila

Nimefanikiwa kubadili Kabila

Zekidon

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2013
Posts
1,903
Reaction score
569
Nimeamini hakuna kinachoshindikana chini ya hili jua.

Nimefanikiwa kwa asilimia kubwa kubadili kabila langu; kila ninapotakiwa kujaza kwenye fomu yoyote mimi ni kabila gani; naandika kabila ninalotaka.
 
mimi kila nikitaka kubadili kabila ndugu wanalalamika,na nikisema kabila langu hawakubali maana wanasema sifanani na kabila lolote Tz
 
Aisee mie katika maongezi na watu ndio nilishabadili kitambo. Maana watu wakiniona husema wewe unatokea mkoa fulani.. basi nami huwa nakubali lakini kiukweli huo mkoa tajwa sio. Mimi hata nikienda kwetu halafu nikkutane hata na ndugu zangu ambao hatifahamiani huwa hawakubali kama natokea huko.
 
Nimeamini hakuna kinachoshindikana chini ya hili jua.

Nimefanikiwa kwa asilimia kubwa kubadili kabila langu; kila ninapotakiwa kujaza kwenye fomu yoyote mimi ni kabila gani; naandika kabila ninalotaka.

Ni rahisi kwa kuwa form zote unazojaza hakuna inayotaka uthibitisho kwamba wewe ni kabila gani. Chamsingi, ujfunze lugha yako mpya, ubadilishe na jina la ukoo ili isiwe questionable, na hata lafudhi ikibidi. Hongera kwa kutufurahisha.
 
Nimeamini hakuna kinachoshindikana chini ya hili jua.

Nimefanikiwa kwa asilimia kubwa kubadili kabila langu; kila ninapotakiwa kujaza kwenye fomu yoyote mimi ni kabila gani; naandika kabila ninalotaka.

Bado kitu kimoja, badili jinsia uwe mwanamke ili kuwakomoa watu wanaokufuayilia kabisa.
 
Nimeamini hakuna kinachoshindikana chini ya hili jua.

Nimefanikiwa kwa asilimia kubwa kubadili kabila langu; kila ninapotakiwa kujaza kwenye fomu yoyote mimi ni kabila gani; naandika kabila ninalotaka.

Au Mama kakuonesha Baba mwingine Ndg yangu?
 
Hahahahahaha, kwani zamani ulikuwa Kabila gani na sasa umejibadilisha na kuwa Kabila gani??
 
Nimeamini hakuna kinachoshindikana chini ya hili jua.

Nimefanikiwa kwa asilimia kubwa kubadili kabila langu; kila ninapotakiwa kujaza kwenye fomu yoyote mimi ni kabila gani; naandika kabila ninalotaka.

Teh teh teh .....dah,we noumerr
 
mimi kila nikitaka kubadili kabila ndugu wanalalamika,na nikisema kabila langu hawakubali maana wanasema sifanani na kabila lolote Tz

Hahahahaha usinikumbushe weee kuna mdada alinisuka akaniuliza kabila langu nikamtajia akanambia hajawahi kulisia katika makabila yote tz akanilazimisha nitaje katika anayo yafaham nkamwambia am not joking hilo ndio kabila langu ila alinikeraa balaaa nkiwa kubadili kabila ntapenda kuwa mmasai
 
Nimeamini hakuna kinachoshindikana chini ya hili jua.

Nimefanikiwa kwa asilimia kubwa kubadili kabila langu; kila ninapotakiwa kujaza kwenye fomu yoyote mimi ni kabila gani; naandika kabila ninalotaka.
Kesho utakuja sema umefanikiwa kubadili wazazi kisa badala ya kuandika ktk fomu jina x la baba yako wewe waandika Y.
Hongera sana ila wewe kama sio ukawa ya loassa, basi kuna ishu maana kule katiba yao inaruhusu vitu vya dizaini hii.
 
Ukistaajabu ya Zekidon utayaona ya Magufuli!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom