Nimefanikiwa kubadili Kabila

Nimefanikiwa kubadili Kabila

Nimeamini hakuna kinachoshindikana chini ya hili jua.

Nimefanikiwa kwa asilimia kubwa kubadili kabila langu; kila ninapotakiwa kujaza kwenye fomu yoyote mimi ni kabila gani; naandika kabila ninalotaka.
Hahahaaa
 
Utakuwa mgogo au muha ndio wenye tabia ya kukana makabila yao.
 
Unajua swala la makabila na ukanda yaliimarishwa na wazungu ili watutawale.

Kwa asili waafrika wana koo na nasaba ila si makabila kwa sababu mababu zetu waliishi porini wakiranda randa kutafuta matunda hawakumbuki walihama mara ngapi na wapi na wapi ila wazungu walipowakuta ndo pakaleta ukanda.

Namkumbuka Nyerere.
 
Mi nimefanikisha kuhama Tz.

Nimeamini hakuna kinachoshindikana chini ya hili jua.

Nimefanikiwa kwa asilimia kubwa kubadili kabila langu; kila ninapotakiwa kujaza kwenye fomu yoyote mimi ni kabila gani; naandika kabila ninalotaka.
 
Teh teh teh.

unacheka? sio powa,

Kigoma ni ya waha, ukisikia sijui mmanyema, mubembe n.k. hao ni wazaire waliokimbia vita longtime ago

Kwanza kwa kigoma mubembe ni aina ya ugonjwa
 
Hivi kuna fomu zinazomtaka mtu ajaze kabila lake? Katika Tanzania hii ya sasa?
 
Vitu vya 2016...

Kama umeweza kabila , badili na jinsia kabisa....
 
Kwa hiyo ulijisikiaje wakati mama yako anakuambia huyo sio baba yako?? Hukushtuka? You can imagine utakuta na ndevu ushaota maza ndio anafunguka kuwa huyo sio baba ako na anakuhamisha kabsa kabila na ukoo.....

Mixed feelings I guess..

POLE
 
Back
Top Bottom