toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Nilitoka Makumbusho mpaka Gongolamboto hadi Chanika
Ni safari ndefu sana ni kama mtu kasafiri mkoa kwenda mkoa mwingine
Jamani Chanika ni mbali tena mbali sana, wanaokaa huko na wanafanya kazi jijini wapewe kongole zao.
Kingine nilichoona ni usafiri wa shida Chanika usafiri ni shida tupu labda uwe na gari yako mwenyewe, daladala zinajaa mpaka watu wanashindwa kupumua vizuri.
Ila Chanika ni mbali sana
Ni safari ndefu sana ni kama mtu kasafiri mkoa kwenda mkoa mwingine
Jamani Chanika ni mbali tena mbali sana, wanaokaa huko na wanafanya kazi jijini wapewe kongole zao.
Kingine nilichoona ni usafiri wa shida Chanika usafiri ni shida tupu labda uwe na gari yako mwenyewe, daladala zinajaa mpaka watu wanashindwa kupumua vizuri.
Ila Chanika ni mbali sana