mkuu utaitwa mrwanda soon, kumsifia kagame hapa JF unakuwaPaul Kagame ni Rais ambaye kwa miaka 10 iliyopita alitudharau sana, nimewahi kumchukia kwa kufikia hatua kumtishia maisha aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Nchi kipindi hicho. Akijinadi kuwa angeweza kumgonga anytime.
Sikupenda jambo lile hasa kwa kuwa Cheo cha Urais ni nembo ya Taifa hata kama itatokea Jiwe likawa Rais wa Tanzania basi hiyo ni nembo yetu litakapokuwepo jiwe hili liheshimiwe.
Huwa siruhusu mtu mwingine amponde kiongozi wa nchi yangu zaidi yangu mimi mwenyewe ambaye nitamkosoa lakini isifikie hatua mtu akamchimba mkwara.
Sasa nimeelewa, Kagame ni kiongozi shupavu, mwenye akili ,dikteta kiasi fulani, mwenye kuipenda nchi yake, asiyejilimbikizia mali, mwenye nidhamu na serious. Hivyo hutaka kufanya kazi na watu wa namna hiyo. Kwa maneno haya hapa chini anamaanisha miaka 10 iliyopita Tanzania ilikuwa na ombwe la uongozi inasemekena kuna wakati hata Kagame alitamani aje aombe kujitolea kuwa Rais nchini yaani awe volunteer na hili ndilo lililo leta ukakasi sana kwa Utawala uliopita. Soma maneno haya aliyoyasema between the lines.
"You must know, first of all, that you are in your brother’s place.Since you were elected, you presence has been refreshing. Your words & deeds reflect our vision. Your stance against corruption is very refreshing. We are committed to working with partners who feel we have to raise our level of dignity because that is what we deserve.
We thank you for being with us tonight, the same night,22 years ago when what is not easy to describe happened to our nation. The effects of what happened 22 years ago still ring bells in our mind,hearts and our homes.
What happened here 22 years ago will never happen again. Rwandans who rebuilt their lives are as committed as I am to make sure it never happens again.
- President Kagame speaks at the official dinner hosted in honour of President Magufuli.
mi wakati naisoma nikadhani huenda mimi ndo nina broken...kumbe siyo ni 'muheshimiwa'Naye kapiga broken ya kutosha ila angekua Magufuli basi nyumbu wote mikia ingekua juu
walirudi kabla master wa diplomasia na siasa na uongozi(jakaya) kustaafujpm karudisha uhusiano kwa aili ya biashara........hivi siwalikimbilia bandar ya mombasa wale/..........
Makosa kidogo, Since you were elected..to be..since you was elected... Because it means one person... Other mistake...you presence....to be.. Your presence.. But this depends on whether it's American or British English.
Makosa kidogo, Since you were elected..to be..since you was elected... Because it means one person... Other mistake...you presence....to be.. Your presence.. But this depends on whether it's American or British English.
Mkuu, si ungenisaidia, tufupishe safari ya kurudi darasani.Kama haujaona inabidi urudi darasani.
"you presence"......Ni broken gani aliyepiga hapo sasa??
mahusiano yetu na congo haimaanishi tusiwe na mahusiano mazuri na watu wengine. we can not live in isolationWajuzi , mambo vipi itakuwa mahusiano yetu na Congo baada kuonekana tunawakumbatia Rwanda na wale M23 Congo wanadai ni Rwanda? Wana Diplomasia waje hapa!!
LAkini anazungumza lugha 4......tena tulimfunza Moro.Kama haujaona inabidi urudi darasani.
FYI huyu tulimfunza moro tukamweka pale..kama Tulivyofanya kwa M7,Kabila,Joe Chisano na wa kadhaTulivyo mchapia M23 mpaka leo kaweweseka na j.k
Kwani kagame alianza kumchukia jk lini?mbona siku zote alikuwa ni rafiki tu na wakayi wote huo hakumkosoa su kumdharau kuwa ni kiongozi gdaifu mpaka jk alipotoa ushauri kwa kagame kuhusu kufanya mazungumzo na hao maadau zake,ndipo alipomuona mbaya?mtu mwenye heshima zake hachukii mtu anayempa ushauri bali huukataa tu huo ushauriPaul Kagame ni Rais ambaye kwa miaka 10 iliyopita alitudharau sana, nimewahi kumchukia kwa kufikia hatua kumtishia maisha aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Nchi kipindi hicho. Akijinadi kuwa angeweza kumgonga anytime.
Sikupenda jambo lile hasa kwa kuwa Cheo cha Urais ni nembo ya Taifa hata kama itatokea Jiwe likawa Rais wa Tanzania basi hiyo ni nembo yetu litakapokuwepo jiwe hili liheshimiwe.
Huwa siruhusu mtu mwingine amponde kiongozi wa nchi yangu zaidi yangu mimi mwenyewe ambaye nitamkosoa lakini isifikie hatua mtu akamchimba mkwara.
Sasa nimeelewa, Kagame ni kiongozi shupavu, mwenye akili ,dikteta kiasi fulani, mwenye kuipenda nchi yake, asiyejilimbikizia mali, mwenye nidhamu na serious. Hivyo hutaka kufanya kazi na watu wa namna hiyo. Kwa maneno haya hapa chini anamaanisha miaka 10 iliyopita Tanzania ilikuwa na ombwe la uongozi inasemekena kuna wakati hata Kagame alitamani aje aombe kujitolea kuwa Rais nchini yaani awe volunteer na hili ndilo lililo leta ukakasi sana kwa Utawala uliopita. Soma maneno haya aliyoyasema between the lines.
"You must know, first of all, that you are in your brother’s place.Since you were elected, you presence has been refreshing. Your words & deeds reflect our vision. Your stance against corruption is very refreshing. We are committed to working with partners who feel we have to raise our level of dignity because that is what we deserve.
We thank you for being with us tonight, the same night,22 years ago when what is not easy to describe happened to our nation. The effects of what happened 22 years ago still ring bells in our mind,hearts and our homes.
What happened here 22 years ago will never happen again. Rwandans who rebuilt their lives are as committed as I am to make sure it never happens again.
- President Kagame speaks at the official dinner hosted in honour of President Magufuli.
Mbona aliyoyasema ni kawaida sana kusikika katika dhifa za marais. Pamoja na uzuri wake ana mapungufu hasa linapokuja suala la DRC. Ame-destabilize sana eastern Congo. M23.
Paul Kagame ni Rais ambaye kwa miaka 10 iliyopita alitudharau sana, nimewahi kumchukia kwa kufikia hatua kumtishia maisha aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Nchi kipindi hicho. Akijinadi kuwa angeweza kumgonga anytime.
Sikupenda jambo lile hasa kwa kuwa Cheo cha Urais ni nembo ya Taifa hata kama itatokea Jiwe likawa Rais wa Tanzania basi hiyo ni nembo yetu litakapokuwepo jiwe hili liheshimiwe.
Huwa siruhusu mtu mwingine amponde kiongozi wa nchi yangu zaidi yangu mimi mwenyewe ambaye nitamkosoa lakini isifikie hatua mtu akamchimba mkwara.
Sasa nimeelewa, Kagame ni kiongozi shupavu, mwenye akili ,dikteta kiasi fulani, mwenye kuipenda nchi yake, asiyejilimbikizia mali, mwenye nidhamu na serious. Hivyo hutaka kufanya kazi na watu wa namna hiyo. Kwa maneno haya hapa chini anamaanisha miaka 10 iliyopita Tanzania ilikuwa na ombwe la uongozi inasemekena kuna wakati hata Kagame alitamani aje aombe kujitolea kuwa Rais nchini yaani awe volunteer na hili ndilo lililo leta ukakasi sana kwa Utawala uliopita. Soma maneno haya aliyoyasema between the lines.
"You must know, first of all, that you are in your brother’s place.Since you were elected, you presence has been refreshing. Your words & deeds reflect our vision. Your stance against corruption is very refreshing. We are committed to working with partners who feel we have to raise our level of dignity because that is what we deserve.
We thank you for being with us tonight, the same night,22 years ago when what is not easy to describe happened to our nation. The effects of what happened 22 years ago still ring bells in our mind,hearts and our homes.
What happened here 22 years ago will never happen again. Rwandans who rebuilt their lives are as committed as I am to make sure it never happens again.
- President Kagame speaks at the official dinner hosted in honour of President Magufuli.
Kweli kabisaa mkuu,jamaa kila akiguswa anaikimbilia Genocide kama ngao.Jamaa anaitumia Genocide kama sehemu ya kuonewa huruma