Nimedukua mawasiliano ya mke wangu kwa WhatsApp code, aisee anapanga makubwa kunisaliti nitakaposafiri

Mtumie hizo sms mkeo.
Ikiwezekana mtumie screenshot.
Alafu usimuulize lolote we safiri.

Alafu utapata majibu.
 
Dah!shangazi dah mwambie shangazi jane afuatilie
 
Mkuu mbona unajitakia shida bureee cha msingi unatakiwa umchane live mkeo kuwa umegundua usaliti wake anaotaka kuufanya pindi utakapokua safarini maana sikushauli uache kwenda safari yako ya kikazi najua kumegewa inauma lakini kazi nayo ndio asili ya uhai wanawake wapo tu na hata kama hutasafiri akiamua kumegwa hata kama usisafiri atafanya tu
 
Pole sana. Cheki DNA watoto unaweza kukuta si wako
 
Naweza kusema mkeo mtindu sana.we nenda kazin tuu,najua hutaifanya hiyo kazi kwa ufanisi lkn huna namna nenda kazin tuu
 
Kwanini unataka kujipa mateso ya moyo kihasi icho we uko unaposafiri hauna mchepuko,makosa tufanye sisi akifanya mwanamke dhambi
 
Bora waachane.
 
Ushauri wa kijinga sana huu
 
Kiongozi Samweli mathayo usituchezee akili. Unajiandikia huko WhatsApp na kujijibu mwenye halafu unakuja kutupa headache tu. Mwandishi wa hizo msg zote anafanana.
 
we jamaa uliyeandika hii thread,mbona unaulizwa swali utaje hiyo app huitaji?.hebu acha kuruka hili swali bana lete hiyo app watu tukaitumie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…