plerocercoid
Member
- Jun 8, 2018
- 46
- 14
Wakuu mimi ni mwanafunz wa diploma mwaka wa pili kozi ya maabala. Kilichonifany niombe msaada kwenu ni kwamba inawezekana mtu akawa na gpa ya 2 na akadisco?
Nahitaj yeyote mwenye kufahamu juu ya hili anisaidie, npo dilemma!
Nahitaj yeyote mwenye kufahamu juu ya hili anisaidie, npo dilemma!