Nimedisco, msaada wenu please!

Nimedisco, msaada wenu please!

plerocercoid

Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
46
Reaction score
14
Wakuu mimi ni mwanafunz wa diploma mwaka wa pili kozi ya maabala. Kilichonifany niombe msaada kwenu ni kwamba inawezekana mtu akawa na gpa ya 2 na akadisco?

Nahitaj yeyote mwenye kufahamu juu ya hili anisaidie, npo dilemma!
 
Wakuu mimi ni mwanafunz wa diploma mwaka wa pili kozi ya maabala. Kilichonifany niombe msaada kwenu ni kwamba inawezekana mtu akawa na gpa ya 2 na akadisco?

Nahitaj yeyote mwenye kufahamu juu ya hili anisaidie, npo dilemma!
Inategemeana na viwango walivyoweka chuo husika. Kama hiyo gpa ndio inakuondoa hapo sawa, kuna vyuo vingine unaweza endelea nayo.

#ILA MWANANGU UNATATIZO, UNA DISCO HATA DIPLOMA, UKIFIKA DEGREE ITAKUWAJE? EMBU WEKA SAWA MAMBO?
 
Pole sana kijana kudisco sio mwisho wa maisha lazima maisha yaendelee mkuu mimi nilidisco pia lakini sikukata tamaa embu angalia umejikwaa wap rekebisha makosa yako songa mbele.

Kingine ukiwa chuo jaribu soma prospectus vizuri ili ujue vigezo Na masharti ya chuo chenu sio rahisi sisi kushauri sababu taratibu zinatofautiana vyuo Na vyuo.

Na amini utasimama tena
Good lucky
 
Inategemeana na viwango walivyoweka chuo husika. Kama hiyo gpa ndio inakuondoa hapo sawa, kuna vyuo vingine unaweza endelea nayo.

#ILA MWANANGU UNATATIZO, UNA DISCO HATA DIPLOMA, UKIFIKA DEGREE ITAKUWAJE? EMBU WEKA SAWA MAMBO?
Jinsi ninavyofaham nikwamba mtu kudisco mpaka uwe na gpa chin ya 2 kwa mujibu wa Nacte.. Sijajua kama kuna sheria mpya ndomana nikauliza
 
Kwa hiyo hata masharti ya chuo huyajui! Hukusoma guideline za grades zinavyokokotelewa, na mwisho supp na kurudia ama kudisco? Ushauri rudi mtaani omba tena
 
Cha msingi usiseme unavyojua tafuta vigezo vya vya kuebdelea na masomo au kudisco dont assume
 
Kwa hiyo hata masharti ya chuo huyajui! Hukusoma guideline za grades zinavyokokotelewa, na mwisho supp na kurudia ama kudisco? Ushauri rudi mtaani omba tena
Guideline ndohivyo inasema kudisco mpaka uwe chini ya gpa ya 2.. Ndio maana nimeshangaa kwangu
 
Kwa hiyo hata masharti ya chuo huyajui! Hukusoma guideline za grades zinavyokokotelewa, na mwisho supp na kurudia ama kudisco? Ushauri rudi mtaani omba tena
Masharti ni ya Nacte na yanafahamika.. Ndomana nkaomba kama kuna mtu anafaham lolote jipya juu ya hayo masharti
 
Wakuu mimi ni mwanafunz wa diploma mwaka wa pili kozi ya maabala. Kilichonifany niombe msaada kwenu ni kwamba inawezekana mtu akawa na gpa ya 2 na akadisco?

Nahitaj yeyote mwenye kufahamu juu ya hili anisaidie, npo dilemma!
Inategemea na sheria za mitihani ya chuo husika, kuna vyuo ambavyo ukipata sup 4 regardless of gpa uliyonayo unadisco, vyou vingine ni sup 5 unadisco. Angalia sheria za mitihani za chuo chako
 
Back
Top Bottom