Nimedata na manjonjo ya huyu changudoa

Nimedata na manjonjo ya huyu changudoa

usioe mkuu,kama ndio mind yako imejiseti kihivyo,commitment ndio iko hivyo,kama unaona huridhiki na mmoja,usioe/usiolewe.
Ndo keshaoa sasa, cha msingi kama ni Christian abadili dini ili aoe wengi kama wale wenzetu muslim
 
Mwepukeni Shetani jamani ..
hizo picha cha uchi c uliziomba ndo mana akatuma

mtegoni mnajiingizaga wenyewe
 
Usihangaike ndio tofauti ya mchepuko na njia kuu.
 
Nionavyo mimi mchukue tu huyo huyo mdada, maana inaonyesha umeoa kwa ajili ya sex tu, na huoni chochote kwa mkeo, huoni thamani yake mpaka umlinganishe na huyo mdada.

kwann ujilaumu moyoni na nafasi unayo?
 
Nionavyo mimi mchukue tu huyo huyo mdada, maana inaonyesha umeoa kwa ajili ya sex tu, na huoni chochote kwa mkeo, huoni thamani yake mpaka umlinganishe na huyo mdada.

kwann ujilaumu moyoni na nafasi unayo?
Nahs hujaelewa bandiko
 
Ushauri wangu ni kuwa okoka leo kuiepuka hukumu mkuu mbingu ni halisi na kuzimu ni halisi mpokee Yesu kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako nawe utaokoka na pia atakupa ushindi wa kushinda hii dhambi barikiwa
 
Hata sio tako
Ss km co tako unachoogopa kumwambia mkeo napenda hiki hiki na kle ni nn? km c kwa maneno bc hata vitendo we mset tu atajiongezaga mwenyewe kigumu kuomba tako tu mengne yote yanaongeleka cjui kwann baadhi ya wanandoa wanakuwa km kaka na dada aseee mi mdomo wng haunaga breki bdo cjaoa ila mchumba wng nineanza nae hajui chochote ila nimemjanjarusha kawa firaun khatari naenjoy show tu saa hz acha aibu aibu hakuna cha kuficha kati ya mke na mume watu mnalala uchi bdo mwafichana fichana tu? jiongeze huenda nae kuna vtu ataka ila anashindwa kusema km ww kuwa simpo viutani vya hp na ple mtoto wa kike hataogopa kukwambia akipendacho zubaazubaa akienda kutafuta nje utarudi walia hp!
 
Usizini ni amri ya muumba tuliopewa wanadam ,kibur cha uzima kisikupe jeur hata akil yako inaonekana bado hujakomaa vzr kiakil ,usiwe mtumwa WA shetan ikimbie zinaa ,waweza mfanya mkeo awe km huyu changu hauna akil ya kuongea na mkeo ndio maana una weweseka
 
Inabidi wife wako afanye uchangu kwa muda ili apate maujuzi kama huyo changu au zaidi yake samahani lakini ni ushauri tu
 
Yaaaniii unataka umsahau mkeo kisa Changudoa... Daah duniaa inakwenda kasi Sana...
 
Back
Top Bottom