Nimedata na manjonjo ya huyu changudoa

Nimedata na manjonjo ya huyu changudoa

Nikiwa katika pitapita zangu, nilimuona mtoto Mmoja mrembo Sana akiwa ameket kibarazani(Kama mita 500 kutoka ninapoishi)

Nilishangaa kuona navutiwa naye Sana kiasi cha kutotaka atoke machoni kwang, nilisogea Na kumpa hi, Aliitikia kwa sauti ya uchovu Sana (kimahaba)
Mpangie chumba ba umpe kimtaji awe mchepuko wako
 
Nikiwa katika pitapita zangu, nilimuona mtoto Mmoja mrembo Sana akiwa ameket kibarazani(Kama mita 500 kutoka ninapoishi)

Nilishangaa kuona navutiwa naye Sana kiasi cha kutotaka atoke machoni kwang, nilisogea Na kumpa hi, Aliitikia kwa sauti ya uchovu Sana (kimahaba)
Nilipiga naye story za hapa Na pale nikijidai natafuta chumba cha kupanga mitaa Ile, nikafanikiwa kupata namba yake ya simu..!
Mita 500 unazijua?
 
Nikiwa katika pitapita zangu, nilimuona mtoto Mmoja mrembo Sana akiwa ameket kibarazani(Kama mita 500 kutoka ninapoishi)

Nilishangaa kuona navutiwa naye Sana kiasi cha kutotaka atoke machoni kwang, nilisogea Na kumpa hi, Aliitikia kwa sauti ya uchovu Sana (kimahaba)

  • usifanye mpenzi kabla ya ndoa.
  • usitoke nje ya ndoa
Unapoambiwa Hayo huwa kun sababu
 
Ss km co tako unachoogopa kumwambia mkeo napenda hiki hiki na kle ni nn? km c kwa maneno bc hata vitendo we mset tu atajiongezaga mwenyewe kigumu kuomba tako tu mengne yote yanaongeleka cjui kwann baadhi ya wanandoa wanakuwa km kaka na dada aseee mi mdomo wng haunaga breki bdo cjaoa ila mchumba wng nineanza nae hajui chochote ila nimemjanjarusha kawa firaun khatari naenjoy show tu saa hz acha aibu aibu hakuna cha kuficha kati ya mke na mume watu mnalala uchi bdo mwafichana fichana tu? jiongeze huenda nae kuna vtu ataka ila anashindwa kusema km ww kuwa simpo viutani vya hp na ple mtoto wa kike hataogopa kukwambia akipendacho zubaazubaa akienda kutafuta nje utarudi walia hp!
Safi Sana , siyo umekutana namtu hajui badala umfundishe unamkimbia
 
Kuna watu mpo serious Sana bro hakuna mtihani utakao jibu kupitia notc za humu ..... mambo mengine buruza tu acha yaende
 
Ushauri wangu ni kuwa okoka leo kuiepuka hukumu mkuu mbingu ni halisi na kuzimu ni halisi mpokee Yesu kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako nawe utaokoka na pia atakupa ushindi wa kushinda hii dhambi barikiwa
Mboo huwa haiokoki
 
Back
Top Bottom