Nimedata na manjonjo ya huyu changudoa

Nimedata na manjonjo ya huyu changudoa

Nafikiri uchangudoa unakatazwa maana kiuhalisia wake za watu hawana uwezo wa kushindana na machangudoa kwenye kugegedana.
Kama ukiruhusiwa watu wengi watawaacha wake zao na kujisevia machangudoa huku wakibadili ladha kila panapokucha.
Anyway hebu fanya mpango wa hiyo namba. Ukiamua kuiweka hapa jukwaani au kuituma PM ni uamuzi wako ila hakikisha jua halizami kabla sijaipata.
we kiboko aisee
 
Nafikiri uchangudoa unakatazwa maana kiuhalisia wake za watu hawana uwezo wa kushindana na machangudoa kwenye kugegedana.
Kama ukiruhusiwa watu wengi watawaacha wake zao na kujisevia machangudoa huku wakibadili ladha kila panapokucha.
Anyway hebu fanya mpango wa hiyo namba. Ukiamua kuiweka hapa jukwaani au kuituma PM ni uamuzi wako ila hakikisha jua halizami kabla sijaipata.
Ajabu ya machangudoa iko hapo! Wengi wao ni wazuri na wako vizuri kwenye gem, mpaka mtu unajiuliza hivi wanakosaje mtu maalum wa kukaa naye.
 
Vingine havionekani mkuu

Dah pole!

ndo maana milza za kiafrika ziliruhusu wake zaidi ya mmoja, hizi dini zilizotuwekea limit ya wake ndo zimeharibu,

yaani ingekuwa ushapata jiko jingine tena anakuja na kazi yake kbs, full kukusaidia majukum ya familia🙂🙂🙂🙂
 
Nikiwa katika pitapita zangu, nilimuona mtoto Mmoja mrembo Sana akiwa ameket kibarazani(Kama mita 500 kutoka ninapoishi)

Nilishangaa kuona navutiwa naye Sana kiasi cha kutotaka atoke machoni kwang, nilisogea Na kumpa hi, Aliitikia kwa sauti ya uchovu Sana (kimahaba)
Nilipiga naye story za hapa Na pale nikijidai natafuta chumba cha kupanga mitaa Ile, nikafanikiwa kupata namba yake ya simu..!

Mara kwa Mara nimekuwa nikicjat naye mida ya mchana maana alidai ameolewa, pia Na mm nna mke..!

Niliendelea kumchimba Ili kujua Maisha yake kiundani, ndipo nilipogundua kuwa anaish mjin kwa kuuza uchi wake...( Kuna meng Sana ya kuandika kuhusu suala hili ila ngoja niishie hapo kwani sio lengo)

Siku zilizid songa huku tukiendelea kuchati.Alianza kunitext usiku, nilichat naye huku nukiavoid hali hiyo maana mke akijua n tatizo,

Ilifikia kpnd akawa anantumia picha zake za nusu uchi,akiwa na chupi,bikini na wakat mwngne alijiselfisha akiwa kifua wazi,( nilidata na maumbile ya huyu changudoa, chuchu zake zilisimama barabara)

Kidume nilikosa cha kufanya maana huyu dada alikuwa ananipeleka mbali Sana kihisia.., baada ya kuhakikisha mazingira ya kiusalama wa kiafya ya huyu dada ilinibidi nimt*mb* Tu hakukuwa na namna..!

Kilichonileta hum Ni suala moja Tu, huyu dada anajua mapenz balaa kumzid wife maana nnakoelekea sifurahii penz la mke wangu, sasa najiuliza haya maujuzi mke wangu atayajuaje Ili niweze kufrah naye, na kunavitu nikisema nimuelekeze Ili nienjoy atastukia na kujiuliza nimeyajuaje..!

Niko njia panda wakuu, naomben ushaur maana mke Wang nampenda lakini huyu changudoa ananteka na maujuzi yakee..

Nifanyeje???!!!!
Mkuu kama hizo picha alizokuwa anakutumia bado unazo, weka humu.
Then ntakuambia jambo
 
Hivi wewe utafanya yote yaishe? Labda una kadunia kako mwenyewe. Ila kama ni hii dunia utaisha wewe na kamwe haya mengine hayataisha

usioe mkuu,kama ndio mind yako imejiseti kihivyo,commitment ndio iko hivyo,kama unaona huridhiki na mmoja,usioe/usiolewe.
 
Ajabu ya machangudoa iko hapo! Wengi wao ni wazuri na wako vizuri kwenye gem, mpaka mtu unajiuliza hivi wanakosaje mtu maalum wa kukaa naye.
Siyo kwamba hawapati mtu wa kuwaoa mkuu,....wengi hawapendi maisha ya ndoa.
Changudoa akiamua kuolewa ni easy kupata mume mzuri kuliko binti mwimba kwaya.
Kimsingi maisha ya uchangudoa yamewawia matamu.
 
Mchukue mkeo mpekeke kwa huyo changudoa akamfundishe huo ujuzi
 
Vita ya kupambana na nafsi ni ngumu kuliko vita zote..tamaa ya ngono ni tamaa ambayo wanaume wengi inatuangusha, sio viongozi wa dini wala yeyote ukiwa rijali, ni ngumu sana kuishinda labda uzaliwe upya !!!
Mimi nina mke anayejua kugegedana, tena akinisanukia kitandani hata kama sina hamu, namrukia tu lakini sasa ivi ukuni kila saa unasimama hasa nikiwaona wanawake wenye kunivutia, sasa hivi ana bleed, basi mi minyege ndo usiseme, najilowesha tu kila saa natamani kugegeda tu...ee Mungu niokoe
 
Nafikiri uchangudoa unakatazwa maana kiuhalisia wake za watu hawana uwezo wa kushindana na machangudoa kwenye kugegedana.
Kama ukiruhusiwa watu wengi watawaacha wake zao na kujisevia machangudoa huku wakibadili ladha kila panapokucha.
Anyway hebu fanya mpango wa hiyo namba. Ukiamua kuiweka hapa jukwaani au kuituma PM ni uamuzi wako ila hakikisha jua halizami kabla sijaipata.
Akikutumia fanya kutufowadia na sisi mkuu.
 
Back
Top Bottom