nimedanganywa...

nimedanganywa...

scart

Senior Member
Joined
Jan 27, 2012
Posts
104
Reaction score
26
mchumba wangu wa miaka mitano amenidanganya hayupo facebook.
nimekuja kugundua anayo account miezi 6 iliyopita.
nashndwa kumuelewa ana maana gani kunificha?!
 
scart nakushauri jitahidi sana maishani jizuie kumchunguza mwanamke.

Waliposema ukimchunguza kuku hutomla hukuelewa maana yake?
 
Last edited by a moderator:
Na ww fungua account kwenye headbook umfiche
 
Mpige chini...mana ndio ushauri mnaopenda kupewa
 
nimekuta amebadili jina lake kidogo.lakn ndio yeye.
uongo kwenye love ni mbaya sana.sasa hap' najiuliza ananidanganya vngp?.u
 
mchumba wangu wa miaka mitano amenidanganya hayupo facebook.
nimekuja kugundua anayo account miezi 6 iliyopita.
nashndwa kumuelewa ana maana gani kunificha?!

atakuwa anauza kimtindo' anaitwa nani? Nimtest halafu nitakuambia mambo yake.
 
Na unabahati hukumkuta kwenye open relationship, a.k.a fungulia dog.
 
pole mkuu, ushauri wangu usipende mfuatilia sana mwanamke lakini ikitokea hukumfuatilia halafu maovu yake yakajileta yenyewe bila hata kuyatafuta chukua hatua yani maamuzi magumu kama ya mr white hair kujivua uwaziri mkuu
 
Hzo mbona za kawaida tu, wengne unakuta wana account mbili moja unaiju na nyngne huijui
 
mchumba wangu wa miaka mitano amenidanganya hayupo facebook.
nimekuja kugundua anayo account miezi 6 iliyopita.
nashndwa kumuelewa ana maana gani kunificha?!

Kumbe mchumba mwenyewe ni wamiaka mitano!!! nawewe ni wamiaka mingapi?
 
Back
Top Bottom