Habari, suala la kuthibitisha vyuo viwili basi unakuwa automatic disqualified. Lakini bahati iko upande wako bado kwani chuo kikuu cha Dar es salaam wamesasisha mifumo ya uthibitishaji na wameweka kitufe cha [HASHTAG]#unconfirm[/HASHTAG].
ingia katika akaunti yako ya udahili > bonyeza menyu > selection result > unconfirm.
nakutakia mafanikio mema.
Lakini pia ikiwa unataka kutendua uthibitishaji katika chuo kikuu cha Dodoma, andika ujumbe mfupi wenye nambari yako ya mtihani kidato cha nne, kitivo ulichochaguliwa, na maelezo mafupi juu ya utenduaji wa chaguo lako. Nakutakia kila lakheri huko chuoni uendako. Ila mara nyingine unapaswa kuwa makini lijapo suala muhimu katika maisha yako linalohitaji maamuzi yako