nyakandula
JF-Expert Member
- Jul 26, 2016
- 1,200
- 1,596
Ni kweli mkuu.Akiri za kuwaza kununua gari aina ya IST au Alex kwa pesa ya mkopo sio akiri za maendeleo wewe utakua mtumishi tu, hujazoea hela mshahara wako ndo umekua dhamana ya mkopo kwa miaka kama mitano hapo naona kama umekaribisha umasikini rasmi katika familia......
Sent using Jamii Forums mobile app
MkuuUshakopa, so wakikwambia umekosea sio haki, haiwahusu, kabla ya kununua gari hakikisha nyumba inaisha vizuri, IST mpya kabisa si mbaya, ni gari nzuri sana.....ila ujawaza hata balance inayobaki uweke genge la chips au chochote mahali kiingize hela kidogo?
Mkuu
IST mpya kabisa hataipata kwa 15m. Ila atapata IST nzuri showroom.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa. Lakini haitakuwa mpya.Unaweza agiza IST japan na kutoa haizidi 12,000,000
Mkuu
IST mpya kabisa hataipata kwa 15m. Ila atapata IST nzuri showroom.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anzisha kiwanda kidogo, revenue itakayozalishwa malizia nyumba, gari usinunue labda baadae pick up ya kusaidia kiwanda na shughuli zingineHabar zenu, nimekopa milion 30 bank CRDB, nahitaji kununua gari mojawapo katika hizi IST, ALEX, RACTIS, CARINA na pesa itayobaki nikamalizie mjengo wangu chanika (15MIL) na ibaki pesa kidogo ya kula bata .nipen ushauri wadau
Nb:nimechagua hizo gari kwa ajili ya matumizi madogo ya wese
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa mkuu.I dont mean brand,I mean used in Japan, unanunuaje IST for 14m show room kama sio ulich
Ndio mim mtumishi ila sitegemei kazi kuendesha maisha nina baadhi ya vtega uchumi napia sina familiaAkiri za kuwaza kununua gari aina ya IST au Alex kwa pesa ya mkopo sio akiri za maendeleo wewe utakua mtumishi tu, hujazoea hela mshahara wako ndo umekua dhamana ya mkopo kwa miaka kama mitano hapo naona kama umekaribisha umasikini rasmi katika familia......
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina vitega uchumi kadhaa ambavyo vinasaidia mwisho wa mwez sigusi mshahara wanguUshakopa, so wakikwambia umekosea sio haki, haiwahusu, kabla ya kununua gari hakikisha nyumba inaisha vizuri, IST mpya kabisa si mbaya, ni gari nzuri sana.....ila ujawaza hata balance inayobaki uweke genge la chips au chochote mahali kiingize hela kidogo?
Sina familia inayonitegemea napia nina kitega uchumi kinachonipa pesa ukiachana na mshaharaNi kweli mkuu.
Utakuta hapo mshahara wake laki 6 take home.
Akikatwa mkopo wa benki ibaki laki 3.5.
Halaf hyo hyo alishe familia na nyingine anunue mafuta ya gari.
Wakati huo hapo gari ni mpya then baada ya mwaka gari ikianza kuchoka ataanza kununua spea.
Hivi ndio umaskini hukaribishwa kwenye familia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkopo wa nini?Nina vitega uchumi kadhaa ambavyo vinasaidia mwisho wa mwez sigusi mshahara wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran ila hapanaAnzisha kiwanda kidogo, revenue itakayozalishwa malizia nyumba, gari usinunue labda baadae pick up ya kusaidia kiwanda na shughuli zingine
Sent using Jamii Forums mobile app