Naomba ushauri nafahamu jamii forum ina wajuvi wengi. Mm nikijana miaka 30 nimejiajiri kwa kuwa na duka la nguo nimejenga na nyumba ina hati japo nipo huku wilayani.
Sasa nina shamba langu la migomba nilitaka na lenyewe nilichukulie hati ili niweze kukopa kwa kutumia hati ya nyumba kuweza kuanzisha biashara nyingine.
Wasiwasi wangu manzingira ya biashara kwa sasa nchini sio mazuri sana. Ndio maana nikaomba ushauri kwamba kwa mfano nimekopa kwa kutumia hati ya nyumba lakini katika kurejesha mkopo nikakwama siwezi kutumia biashara mpya niliyofungua kwa kutumia huo mkopo na hati ya shamba ninayotaka kufuatilia ili niweze kupewa mkopo na benki nyingine tofauti nilipe ule mkopo wa nyuma kwenye benki nyingine huku biashara ikiwa inaendelea nikishamaliza kulipa nawakopa tena kisha nalipa mkopo wa ile benki nyingine?
Sasa nina shamba langu la migomba nilitaka na lenyewe nilichukulie hati ili niweze kukopa kwa kutumia hati ya nyumba kuweza kuanzisha biashara nyingine.
Wasiwasi wangu manzingira ya biashara kwa sasa nchini sio mazuri sana. Ndio maana nikaomba ushauri kwamba kwa mfano nimekopa kwa kutumia hati ya nyumba lakini katika kurejesha mkopo nikakwama siwezi kutumia biashara mpya niliyofungua kwa kutumia huo mkopo na hati ya shamba ninayotaka kufuatilia ili niweze kupewa mkopo na benki nyingine tofauti nilipe ule mkopo wa nyuma kwenye benki nyingine huku biashara ikiwa inaendelea nikishamaliza kulipa nawakopa tena kisha nalipa mkopo wa ile benki nyingine?