Nimechukua mkopo benki, naomba ushauri katika namna niliyopanga kuutumia

Ushakopa, so wakikwambia umekosea sio haki, haiwahusu, kabla ya kununua gari hakikisha nyumba inaisha vizuri, IST mpya kabisa si mbaya, ni gari nzuri sana.....ila ujawaza hata balance inayobaki uweke genge la chips au chochote mahali kiingize hela kidogo?
 
Akiri za kuwaza kununua gari aina ya IST au Alex kwa pesa ya mkopo sio akiri za maendeleo wewe utakua mtumishi tu, hujazoea hela mshahara wako ndo umekua dhamana ya mkopo kwa miaka kama mitano hapo naona kama umekaribisha umasikini rasmi katika familia......

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu.
Utakuta hapo mshahara wake laki 6 take home.
Akikatwa mkopo wa benki ibaki laki 3.5.
Halaf hyo hyo alishe familia na nyingine anunue mafuta ya gari.
Wakati huo hapo gari ni mpya then baada ya mwaka gari ikianza kuchoka ataanza kununua spea.
Hivi ndio umaskini hukaribishwa kwenye familia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushakopa, so wakikwambia umekosea sio haki, haiwahusu, kabla ya kununua gari hakikisha nyumba inaisha vizuri, IST mpya kabisa si mbaya, ni gari nzuri sana.....ila ujawaza hata balance inayobaki uweke genge la chips au chochote mahali kiingize hela kidogo?
Mkuu
IST mpya kabisa hataipata kwa 15m. Ila atapata IST nzuri showroom.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar zenu, nimekopa milion 30 bank CRDB, nahitaji kununua gari mojawapo katika hizi IST, ALEX, RACTIS, CARINA na pesa itayobaki nikamalizie mjengo wangu chanika (15MIL) na ibaki pesa kidogo ya kula bata .nipen ushauri wadau
Nb:nimechagua hizo gari kwa ajili ya matumizi madogo ya wese

Sent using Jamii Forums mobile app
Anzisha kiwanda kidogo, revenue itakayozalishwa malizia nyumba, gari usinunue labda baadae pick up ya kusaidia kiwanda na shughuli zingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akiri za kuwaza kununua gari aina ya IST au Alex kwa pesa ya mkopo sio akiri za maendeleo wewe utakua mtumishi tu, hujazoea hela mshahara wako ndo umekua dhamana ya mkopo kwa miaka kama mitano hapo naona kama umekaribisha umasikini rasmi katika familia......

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mim mtumishi ila sitegemei kazi kuendesha maisha nina baadhi ya vtega uchumi napia sina familia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushakopa, so wakikwambia umekosea sio haki, haiwahusu, kabla ya kununua gari hakikisha nyumba inaisha vizuri, IST mpya kabisa si mbaya, ni gari nzuri sana.....ila ujawaza hata balance inayobaki uweke genge la chips au chochote mahali kiingize hela kidogo?
Nina vitega uchumi kadhaa ambavyo vinasaidia mwisho wa mwez sigusi mshahara wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli mkuu.
Utakuta hapo mshahara wake laki 6 take home.
Akikatwa mkopo wa benki ibaki laki 3.5.
Halaf hyo hyo alishe familia na nyingine anunue mafuta ya gari.
Wakati huo hapo gari ni mpya then baada ya mwaka gari ikianza kuchoka ataanza kununua spea.
Hivi ndio umaskini hukaribishwa kwenye familia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sina familia inayonitegemea napia nina kitega uchumi kinachonipa pesa ukiachana na mshahara

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom