Zee la madawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,728
- 4,075
Hivi nyie wenzangu ambao mko kwenye distance love mnawezaje aisee yaani siku baada ya siku ndivyo ninavyozidi kuchukia distance love na kumchukia huyu binti bila sababu yoyote ile ila binti inaonesha kunipenda sana ila mimi kadri ya siku ndivyo navyozidi kumchukia na kuchukia hii distance love wakuu nifanyeje?
Nikimpiga chini nahisi nitamuumiza kwasababu yeye ndiye ana struggle sana penzi liendelee kuwepo ila mimi siku baada ya siku nazidi kumchoka wakuu naombeni ushauri nifanyeje?
Nikimpiga chini nahisi nitamuumiza kwasababu yeye ndiye ana struggle sana penzi liendelee kuwepo ila mimi siku baada ya siku nazidi kumchoka wakuu naombeni ushauri nifanyeje?
