Waungwana salamu kwenu!
Hebu niambieni wenye kuyajua haya mambo...leo nimechomwa sindano ya tetenasi ya kwanza,baada ya kuchomwa na msumari mguuni...nimeambiwa nirudi tena kwa ya pili Jan 10. Naombeni kujua,je ndani ya muda huo,kabla ya kuchoma ya pili,naweza kunywa pombe?
Aksanteni sana,karibuni!
Hebu niambieni wenye kuyajua haya mambo...leo nimechomwa sindano ya tetenasi ya kwanza,baada ya kuchomwa na msumari mguuni...nimeambiwa nirudi tena kwa ya pili Jan 10. Naombeni kujua,je ndani ya muda huo,kabla ya kuchoma ya pili,naweza kunywa pombe?
Aksanteni sana,karibuni!