Nimechoka


akili kumkichwa hapo mamie, unaeza kutwa unaibiwa kiaina siunajua mjini tena hapa
 
U Better be harted by truth rather than being conforted by lies..akili kichwan mwako..pole mwaya
 
Kuwa mvumilivu utamnasa iposiku ukimwakia saahizi utakuwa huna nguvu ya uhakika kukuchenga ni rahisi sana
 
Acha kumtisha mwenzio kwani akienda huko umesikia anaiacha hukohuko mchana ya wenzio jioni yako...aaalaaaah
 
...its wrong numbers na marafika wa kazini full stop..! Unless uje na some evidance kuliko kuja na hisia bila ushahidi...
 
Sema na Moyo wako, Je Unampenda Mumeo na Kumheshimu????????

Anamatatizo Mengine zaidi ya hilo la simu na urafiki na wadada????????

Vinakuthiri wewe kwa kiasi gani?????

Vinaukweli kwa kiasi gani???????

Kisha chukua Hatua
 
Hayatuhusu. Haya ni mambo yenu binafsi wewe na huyo mumeo. JF sio mahala pa kuleta mambo yenu!! Peleka kwa wakwe. Ukiona anaendelea, mtose, tafuta bwana mwingine!!

Wewe kila siku mtu akipost jukwaa hili HAYATUHUSU!! WEWE ni MSEMAJI WETU? Domo kama c.h.o.o! Kama hutaki tambaa!! Acha watu wenye issues zao washare na wanajamvi!
 

Pole sana. Mimi nimeoa na labda niseme mke wangu anaweza kuwa na experience kama yako.

Simu yangu niliyokuwa naitumia ujanani ndio nimeifanya ya nyumbani. Hii simu wrong numbers zishapigwa sana na wadada, tukipiga back mtu anasema wrong number. Mke wangu haimtatizi.

Ofisini kusema ukweli ni sehemu ya pili ya maisha. Message za usiku si nzuri sana especially kutoka kwa kina dada. Sasa nalichofanya mimi na mke wangu ni kuhakikisha madada wa ofisini ambao tunashare kazi wanakuwa marafiki wa wife. Sio urafiki wa karibu saaana ila wanaweza kuchat na hata message ikitumwa haina tatizo.

Weekends tukitoka mara nyingine hao madada wa ofisini wanapendekeza twende wapi, namchukua wife tunaenda na huko ni full furaha.

Mimi nadhani kuna kiji element cha kutokumwamini mume wako kinakunyemelea. Kipotezee. Jiweke urafiki na hao wadada wa ofisini kwake, ukitoka kuwa positive. MTU anayefanya UZINZI ataumbuka tu siku moja.
 
...its wrong numbers na marafika wa kazini full stop..! Unless uje na some evidance kuliko kuja na hisia bila ushahidi...

nilishawahi kukuta meseji za mdada zinazohusu mapenzi mara arudi saa 6 za usiku
 
Wewe kila siku mtu akipost jukwaa hili HAYATUHUSU!! WEWE ni MSEMAJI WETU? Domo kama c.h.o.o! Kama hutaki tambaa!! Acha watu wenye issues zao washare na wanajamvi!

si ndo hapo afadhali umenisaidia kumwambia mijitu mingine bwana
 
Ndoa ndoa ndoaaaaaaaaaa!!!!!

Ngoja nisome comment tu........
 

Afu jamaa ni mtekaji pia,hahahaha,ndoa hizi
Ingekua ni busara zaidi kama ungelifikisha ili jambo kwa wazazi wake
 
Mh jamani jamani....pole ndo niwezayo kukupa! Ila mueleze tu ukweli..communicate with your husband.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…