Nimechoka na timu kiba, nahamia zangu WCB

ubuntuX

JF-Expert Member
Aug 18, 2014
1,970
2,184
Wakuu
Nimekuwa mfuasi mkuu wa timu kiba tangu muda mrefu lakini muda wote huu ni wazi kabsa hii timu haitupi mashabiki wake furaha kabisa

Tumekuwa tukiburuzwa na WCB kila siku, Diamond na wenzake wanatoa ngoma mpya kali kila baada ya ngoma

Alikiba yeye ni porojo tu na tunajipendekeza tu kumpenda huku yeye hatuhitaji mashabiki wake maana hatusikilizi

Kiba toa wimbo mpya sasa na hivi sasa nimekuhama na nimefuta nyimbo zako zote hapa nadownload ngoma zote za wasafi

Kwaheli timu kiba
Naombeni mnipokee huko WCB
 
6e7ae3d5c83646b0bc0490645290c8e2.jpg
 
nenda uko wcb mkavulugwe malinda na mlezi wenu naona ulikua unatamani uukipata uzoefu njoo nkuvuluge
 
Wakuu
Nimekuwa mfuasi mkuu wa timu kiba tangu muda mrefu lakini muda wote huu ni wazi kabsa hii timu haitupi mashabiki wake furaha kabisa

Tumekuwa tukiburuzwa na WCB kila siku, Diamond na wenzake wanatoa ngoma mpya kali kila baada ya ngoma

Alikiba yeye ni porojo tu na tunajipendekeza tu kumpenda huku yeye hatuhitaji mashabiki wake maana hatusikilizi

Kiba toa wimbo mpya sasa na hivi sasa nimekuhama na nimefuta nyimbo zako zote hapa nadownload ngoma zote za wasafi

Kwaheli timu kiba
Naombeni mnipokee huko WCB
karibu mkuu sema domo nae anatuboa na BASHITE wake mapenzi yet yanapungua siku hizi. Ila mkuu umenichekesha kinoma
 
Back
Top Bottom