Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Tatizo langu nahisi linazidi kila nikimpenda mwanamke namkuta amenizidi UMRI mpaka nachoka.... kisa UMRI.
CANCELING PLEASE
Pole sana kijana. Kwanza fanyia uhariri hilo neno "canceling" nadhani ulimaanisha "counselling".
Pili, sidhani kama uko serious na mahusiano, nahisi unajiingiza kwa ajili ya shinikizo, kuiga aumazingira tu. Nakushauri uachane kabisa na masuala hayo hadi pale utakapokuwa serious kwa mahusiano ya kudumu, yaani NDOA.