Unaishi wapi?Hongera sana. Mimi lishe ya wali ndo mchawi wa wangu.
Ukivaa T Shirt Na Jeans Unakua Kama Una Utapia Mloduuuh sihitaji unene kamwe mamaeeee mambo ya kuvaa suti tu ndio upendeze siyataki mie
BMI yako ikoje? Tuanzie hapo kwanza.Habari za mida hii wakuu, nadhani mko salama.
Ni dawa gani ambayo mtu akitumia anaongezeka mwili? Mazoezi ya kwenda gym siyawezi kwa sababu ratiba yangu hainiruhusu.
Pia kama ni suala la chakula nimeshajaribu kula sana lakini wapi, hivyo basi ninauliza ni dawa gani ambayo nikitumia nitaongezeka mwili?
Nimechoka mwili mwembamba na kifua kama kidari cha kuku.
Soma attachment hiyo kwa maelezo zaidi mkuu.View attachment bmiforpactitioners.pdfMkuu BMI Ukiuliza mimi natokea mabondeni, sijui umemaanisha nini.
BMI NI 31Soma attachment hiyo kwa maelezo zaidi mkuu.View attachment 816662
mkuu mrembo na we umeanza hayo mambo ya wanakujaWanakuja wataalam
Mpe ratiba ya misosi bhanaaWanakuja wataalam
Bola umeongea ukweli kukunepa kunakuja pale utakapo kua hulu kifikra hivyo kwa sasa inaweza kua ngumu kama utafutaji unasababisha msongo wa mawazoMkuu hii diet inazidi kipato changu.
Weka hizo mbinu siutaki unene unamatatizo mengiDah pole bro... Mimi nilikuwa mnene ata zaid yako.. Lakini nilipambana kuwa na mwili flat kama Eric Omondi and jah bless kwasasa nipo mwembamba na binaenjoy wembamba.. Nachukia unene pia unene ulifanya [HASHTAG]#Dick[/HASHTAG] yangu kuwa ndogo.. Now naenjoi vyote wembamba and heavy Dick.. Baki ivyoivyo ndugu
Then BMI= kg/m2 = 68/2.1*2.1 = 68/4.41 = 15.41BMI NI 31
Weight ni 68kg
Height ni 2.1m
Hapana mkuu, ni kg/m*m = 68/2.1*2.1 = 15.42BMI NI 31
Weight ni 68kg
Height ni 2.1m
Na kweli uko underweight, na sababu BMI yako iko chini ya 18.5, so ruksa kuongeza weight.Hapana mkuu, ni kg/m*m = 68/2.1*2.1 = 15.42
Asubuhi:
-Chapati tatu
-Supu ya Ngombe
-Soda baridiiiiiii
-Maji Baridiiiii ya nusu lita
Mchana
-Ugali Nyama
-SOda Baridiiiii
-Maji nusu Lita baridiiiiiii
Usiku
-Piga Nyama choma na ndizi
-Biereeee baridiiiiiiiiiii
Usipende kutembea sana mwendo mrefu.
Pia Pitia na Huu Ushauri wa Dr Othman Kwenye Hii Clip ni Muhimu sana.
Mi binafsi napenda sana vimodo yani nikikiona tu huwa nasisimka.Habari za mida hii wakuu, nadhani mko salama.
Ni dawa gani ambayo mtu akitumia anaongezeka mwili? Mazoezi ya kwenda gym siyawezi kwa sababu ratiba yangu hainiruhusu.
Pia kama ni suala la chakula nimeshajaribu kula sana lakini wapi, hivyo basi ninauliza ni dawa gani ambayo nikitumia nitaongezeka mwili?
Nimechoka mwili mwembamba na kifua kama kidari cha kuku.
Soda ya majiyakiwa baridi, ubaridi mwilini unasaidia nini????Asubuhi:
-Chapati tatu
-Supu ya Ngombe
-Soda baridiiiiiii
-Maji Baridiiiii ya nusu lita
Mchana
-Ugali Nyama
-SOda Baridiiiii
-Maji nusu Lita baridiiiiiii
Usiku
-Piga Nyama choma na ndizi
-Biereeee baridiiiiiiiiiii
Usipende kutembea sana mwendo mrefu.
Pia Pitia na Huu Ushauri wa Dr Othman Kwenye Hii Clip ni Muhimu sana.