Nimechoka kuwa alone

watu wengine wanga sana kapotolo futa kauli Chama hawezi kumtosa Mamndenyi hata siku moja; bado nipo kwenye tambiko la msiba wa chifu!
ukija kumaliza huko utanikuta nimeshaolewa. Uje na mke mwingine.
 
Last edited by a moderator:
Topic closed
Ngoja kwanza nimeboresha vigezo
 
Sina maneno mengi kama vijana, li moyo langu limekudondokea, kazi kwako?
 
Hapo nimeshindwa vigezo sina, Miaka 44, na ndoa nimesahau lakini nipo kwenye kibano?
 
Mamndenyi,

Kama bado hujapata basi uliyemtaka ndio ametua hapa. Vigezo vyote ninavyo na kuvizidi kabisa.

Nina miaka 63, pia nina gari 4. Ukinikubali na uzee wangu huu gari moja nakuzawadia siku ya harusi yetu. Kazi kwako.
 
Last edited by a moderator:
Kama uko serious nipe namba yako ya simu
kule PM.

Mamndenyi,

Kama bado hujapata basi uliyemtaka ndio ametua hapa. Vigezo vyote ninavyo na kuvizidi kabisa.

Nina miaka 63, pia nina gari 4. Ukinikubali na uzee wangu huu gari moja nakuzawadia siku ya harusi yetu. Kazi kwako.
 

Hongera kw kugundua hyo siri bandika mikono kabisa kwa damu ya Yesu utafankiwa wewe na mumeo . Wako wengine wanafikir kwa akili zao wanafirk mashindano yak katik mwil kumbe kaz ipo katik ulimwenu wa roho tena vita kubwa. Watu hawajui shetani ypo kazin anawatak hasa watakatifu wa Mungu hao ndo ana shida nao si wale waliozoea dhambi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…