Nimechoka kusubiri ajira Tanzania, bora nikajaribu bahati yangu Burkina Faso

Wakuu hawa TAMISEMI siwaelewi kabisa. Naomba muongozo jinsi ya kufika Burkina Faso kwenda kusaka ajira ya Ualimu, haiwezekani huu mwaka wa 3 serikali inatuangalia tu. Mara ooh kujitolea Temeke.

NB: Nikifika kule nitawashtua watu waje kuangalia fursa zingine.

Asanteni
Pole jamaa yangu. Mm nimeomba japo kujitolea tu bado imekuwa shida yaani siitwi. Ila nakomaa hapa mpaka kielewee. Kwani nikuulize swali, uliambiwa Botswana kuna ajira za ualimu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu hawa TAMISEMI siwaelewi kabisa. Naomba muongozo jinsi ya kufika Burkina Faso kwenda kusaka ajira ya Ualimu, haiwezekani huu mwaka wa 3 serikali inatuangalia tu. Mara ooh kujitolea Temeke.

NB: Nikifika kule nitawashtua watu waje kuangalia fursa zingine.

Asanteni
Unakitambulisho cha nida maana ndo mwanzo wa safar yako ili upate passpot nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nyumbani ni nyumbani!! Sasa kama apa om kwenu kumekushinda buroo utawezaje kuishi uko mtaa wa pili maana na uko ukifika ikibuma? Unakuja tena kulalamika mkuu.... Kama ngosha kabana ajira we jiongeze kaombe uko kwenye private School... Ukibuma uko anza kibiashara chochote and off day utajikuta na ajira hutaki jiongeze mzee
 
Watu mnapenda kutumikia taasisi au watu wengine.

Wakuu hawa TAMISEMI siwaelewi kabisa. Naomba muongozo jinsi ya kufika Burkina Faso kwenda kusaka ajira ya Ualimu, haiwezekani huu mwaka wa 3 serikali inatuangalia tu. Mara ooh kujitolea Temeke.

NB: Nikifika kule nitawashtua watu waje kuangalia fursa zingine.

Asanteni
 
Namibia Botswana n Swaziland are good options

Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaaaaaa, kwa uzoefu nilio nao tatizo la ajira Lipo dunia nzima, watu waafrika magharibi wanachokifanya ni hiki, wanatafuta scholarship za kwenda kusomea nchi za nje, kwani kuna scholarship zingine ukizipata unamzidi kipato hata mtu aliye ajiriwa. Mfano commonwealth scholarship ukiibahatisha unalipwa Milion 3 kwa mwezi ni pesa nyingi sanaa hiyo
 
Wakuu hawa TAMISEMI siwaelewi kabisa. Naomba muongozo jinsi ya kufika Burkina Faso kwenda kusaka ajira ya Ualimu, haiwezekani huu mwaka wa 3 serikali inatuangalia tu. Mara ooh kujitolea Temeke.

NB: Nikifika kule nitawashtua watu waje kuangalia fursa zingine.

Asanteni
Kwanini usifungue twisheni center
 
Ukijua kingereza tu mkuu unaweza kuishi popote duniani najua English lazima inasound tu kule
Kuhusu kujua kiingereza ndio kuweza kuishi popote hapo usijindanganye kabisaaa,tuulize ss ambao tushaishi nchi km Botswana au Mozambique ukisikia kwmb Bukina Faso ni french speekers au Mozambique ni portuguese spekers amini usiamini 98% hawajui kabisa english 90% hawana hata mpango nacho kabisa.

But the good thing ni kwamba Afrika ni nyumbani hzo nchi zote utakazoenda utakutana na watoto wa Ilala,Temeke,Kino kama kawaida watakupa miongozo.

Kama kichwa chako chepesi itakuchukua mwezi mmoja kusikia lugha yao au miezi sita kuijua kabisa lugha japo hauta sound kama wao.

Nikutakie kila la kheri katika safari yako.
 
Wakuu hawa TAMISEMI siwaelewi kabisa. Naomba muongozo jinsi ya kufika Burkina Faso kwenda kusaka ajira ya Ualimu, haiwezekani huu mwaka wa 3 serikali inatuangalia tu. Mara ooh kujitolea Temeke.

NB: Nikifika kule nitawashtua watu waje kuangalia fursa zingine.

Asanteni
Ukiwa na ujuzi wa ufundi especially fundi magari hautopata shida kuishi nchi zozote.Ila kule Botswana na Mozambique nimeona kwamba leseni zao za udereva ni tofauti ukitoka n ka leseni kako hapa hautoweza kuendesha gari kuna leseni za SADC hiyo unaendesha gari nchi yoyote mwanachama.
 
Labda tuanze kujua fursa zilizopo Botswana, Namibia na na Swaziland ili nasi tujipange kujikwamua
 
Central African countries are not good enough to have a job due to insecurity problems and you will need a visa to enter in those countries

Kwa ushauri anzia
Nchi za kusini kwa jangwa la sahara kama Botswana,Angola,south Africa etc
Kuhusu professional yako ya kufundusha hutaweza kuipata kwa namna yeyote just because English is not your first language unless u have an IELTS score of 7.0

Try to catch up all casual jobs like cleaning,security, bellboy etc

Kwenda nje kutafuta maisha lazima uwe na mtaji at lest $500kwa nchi za Africa ambayo utaitumia wakati ukiwa unatoil kabla ya kupata kazi

Ujaribu pia gulf countries like Dubai, Jordan,bahrain,Saudi etc utatoka sana Ila inabidi upambane kutafuta capital hapa bongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom