Nimechoka kuombwa hela

usifiche mkuu tunaona elfu hamsini zimekutoka hivyo tu.bao moja elfu hamsini dah!!
Mkuu yule dem sikuwa nmempa hata mia....yeye mwenyewe kwanza anatembezwa na GX V8 nyeupe ya hatari sana.....ina STL plate number.......

Ile siku ya kwanza tumekulana nlishiba vizur tu zaidi ya kushiba.....condom zilotumika za kutosha.....usikute hata kaolewaga mkuu, labda alivua pete tu.... Dar yenu bhana
 
Mmmhh kwa kada yetu mtu mwenye ACCA na PHD mmmmhhh!! Hapana asee usitudhalili kwa kweli. Huyo ni PS[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Hahaha...mkuu umenifurahisha sana..story yako yaweza kuwa ya kweli ila ni ngumu kuaminika.. chuo unasema umesoma kijijin.. mzumbe nini mkuu!?
 
Mmmhh kwa kada yetu mtu mwenye ACCA na PHD mmmmhhh!! Hapana asee usitudhalili kwa kweli. Huyo ni PS[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sio Ps....ukimaanisha Secretary....

Pia chuo nlichosomea BBA in Accounting kipo kwenye kijiji flani hapa hapa TZ(kijiji sio lazma kiwe choka mbaya kama unavyowaza ila tu chuo kipo mahali panakuwa addressed kama kijiji) ...nmetoka hapo nkaajiriwa bara huko huko ambapo nilisogezwa tu mpaka vijiji alivyotoka Shilole.....

Naamini umenielewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizi ndio zile msg za kutengeneza mnatumiana whatsapp group kama vichekesho. Mwanaume unaejiheshimu huwezi kumwambia mwanamke tena PhD,MBA etc holder 'nina 2,000....'
Hata kama huna hela utamwambia simu yangu sasa hivi haina hela nikifika sehemu yenye waksla nitaweka nikutumie.
 
Mtu mwenye sijui Phd,MBA,ACCA anatumiwa 2000/= sijajua kama ni dola za kimarekani au paundi.Anyway kumbe kuna PHD holders wanaogongwa siku hiyo hiyo tena na wakuja kama wewe???
hahaha nimewaza kama wewe...hapo kuna mawili either demu mbayaa au ana ngwengwe
 
ungesema anataka ya vocha atleast ungeeleweka kwa mbali
 
Hiyo hela badala ya kuhonga si u-upgrade hiyo simu yako maana c8 ishakuwa zilipendwa sasa.
 
Wee tuma hela mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…