Nimechoka kuombwa hela

Nimechoka kuombwa hela

usifiche mkuu tunaona elfu hamsini zimekutoka hivyo tu.bao moja elfu hamsini dah!!
Mkuu yule dem sikuwa nmempa hata mia....yeye mwenyewe kwanza anatembezwa na GX V8 nyeupe ya hatari sana.....ina STL plate number.......

Ile siku ya kwanza tumekulana nlishiba vizur tu zaidi ya kushiba.....condom zilotumika za kutosha.....usikute hata kaolewaga mkuu, labda alivua pete tu.... Dar yenu bhana
 
Mmmhh kwa kada yetu mtu mwenye ACCA na PHD mmmmhhh!! Hapana asee usitudhalili kwa kweli. Huyo ni PS
 
Hahaha...mkuu umenifurahisha sana..story yako yaweza kuwa ya kweli ila ni ngumu kuaminika.. chuo unasema umesoma kijijin.. mzumbe nini mkuu!?
 
Mmmhh kwa kada yetu mtu mwenye ACCA na PHD mmmmhhh!! Hapana asee usitudhalili kwa kweli. Huyo ni PS
Sio Ps....ukimaanisha Secretary....

Pia chuo nlichosomea BBA in Accounting kipo kwenye kijiji flani hapa hapa TZ(kijiji sio lazma kiwe choka mbaya kama unavyowaza ila tu chuo kipo mahali panakuwa addressed kama kijiji) ...nmetoka hapo nkaajiriwa bara huko huko ambapo nilisogezwa tu mpaka vijiji alivyotoka Shilole.....

Naamini umenielewa
 
Hizi ndio zile msg za kutengeneza mnatumiana whatsapp group kama vichekesho. Mwanaume unaejiheshimu huwezi kumwambia mwanamke tena PhD,MBA etc holder 'nina 2,000....'
Hata kama huna hela utamwambia simu yangu sasa hivi haina hela nikifika sehemu yenye waksla nitaweka nikutumie.
 
Mtu mwenye sijui Phd,MBA,ACCA anatumiwa 2000/= sijajua kama ni dola za kimarekani au paundi.Anyway kumbe kuna PHD holders wanaogongwa siku hiyo hiyo tena na wakuja kama wewe???
hahaha nimewaza kama wewe...hapo kuna mawili either demu mbayaa au ana ngwengwe
 
Mkuu, kwanza natumia Tecno C5

Cha pili hyo ndo pesa nlokuwa nayo kwenye MPESA....2,000 kamili...nlificha coz nlijua mtanijudge sana tu..... Cha tatu mimi sio afisa sana kiasi kwamba nitishe watu, kwangu namiliki Sub-woofer na kitanda cha chuma na Flat screen ya Mr UK....ila huyo dada kanitisha sana, maana mimi sio level yake, nipo chini sana kwake, ndo kwanza nina miezi 5 kwenye ajira ya serikali...ila naamini nitajipanga zaidi baadaye niwe mjanja nipate mambo mazuri kifedha e.t.c....ila hilo la reaction ya huyo huyo Director of Operations limenitisha ndo maana nikaona nitegemee majibu yenu kama ni mtego au vipi.....

Sikatai, mimi ni mgeni Dar kabisaaa.....hata chuo nlichopatia Degree kipo mkoani tena vijijini kabisaaa
ungesema anataka ya vocha atleast ungeeleweka kwa mbali
 
Hiyo hela badala ya kuhonga si u-upgrade hiyo simu yako maana c8 ishakuwa zilipendwa sasa.
 
Nimekuja Dar kikazi juzi, natakiwa kukaa Dar miezi mitatu, katika kupokelewa hiyo hiyo juzi mdada mmoja kanichangamkia sana ingawa kanizidi saaana cheo kwa hyo ofisi nilipofikia.

She has Phd, MBA, ACCA wale wa kada ya Uhasibu mnaelewa atakuwa mkuu wangu kiasi gani kwa serikalini kwa sifa hizo.

Shida alianza nishobokea sana siku hiyo hiyo na tukalambana maana baada ya ofisi alinipeleka rest house yeye mwenyewe na tulitumia condom.Mbaya zaidi tukaanza itana hun love e.t.c

Sasa kimbembe leo nimemchatisha kaniomba msaada wa ela nikamuambia nina kiasi fulani jibu kanijibu hilo hapo chini sijaelewa kabisa.

Wenyeji wa Dar nambieni huu ni mtego wa kikazi au she is desperate maana hajaolewa mpaka sasa hivi.
a54e15c78b719e4baf955c36b5b2c987.jpg
Wee tuma hela mkuu
 
Back
Top Bottom