Nimechoka kuombwa hela

Nimechoka kuombwa hela

Daah, kweeli "usije mjini" hata kana ana hold accacia degree Mkuu hapo sio kabisa, tafuta pakutokea itaku cost at last
 
We huwez kuwa ofisa unatumia tecno af unaombwa halafu unaombwa buku mbili na Phd holder sijui mwenye masters na Acca.Sidhani kama hata una idea ya mishahara ya chief accountants Phd holders wenye certification za Acca.
Hii ni chai tu,,,hamna mtu mwenye sifa hizo anaweza shoboka na mtumia tecno toka kijijini. Navyowajua wadada wa mjini kwa nyodo hasa wakiwa vitengo vikubwa full dharau kisha awe na njaa za buku 2?
 
Nimekuja Dar kikazi juzi, natakiwa kukaa Dar miezi mitatu, katika kupokelewa hiyo hiyo juzi mdada mmoja kanichangamkia sana ingawa kanizidi saaana cheo kwa hyo ofisi nlipofikia,

She has Phd, MBA, ACCA....wale wa Kada ya Uhasibu mnaelewa atakuwa mkuu wangu kiasi gani kwa serikalini kwa sifa hizo.....

Shida alianza nishobokea sana siku hyo hyo na tukalambana maana baada ya ofisi alinipeleka rest house yeye mwenyewe na tulitumia condom.... Mbaya zaidi tukaanza itana hun....love...e.t.c

Sasa kimbembe leo nmemchatisha kaniomba msaada wa ela.....nikamuambia nina kiasi fulani.....jibu kanijibu hilo hapo chini.....sijaelewa kabisaaaaa......wenyeji wa Dar nambieni huu ni mtego wa kikazi au she is desperate maana hajaolewa mpaka sasa hivi
a54e15c78b719e4baf955c36b5b2c987.jpg
Mkuu nakuona na ka tecno kako halafu unamwambia buku 2 itatosha sasa huyo hiyo phd yake aliichukulia kwa Bashite au?
 
usifiche mkuu tunaona elfu hamsini zimekutoka hivyo tu.bao moja elfu hamsini dah!!
 
Watu kwa kuzoom hamjambo mmeshajua ni 2000 daah, kweli JF kiboko

Mkuu ndio umeshakaribishwa mjni hivyo
 
Hahaha........ Yaani umekuja siku hyo hyo ukagegeda? Unafaa uwe mwandishi wa vutabu ww maana sio lwa uwongo huo
 
Hiyo PHD itakuwa ya kuuza maku hiyo ACCA itakuwa kupiga mizinga hiyo MBA itakuwa ya kupiga mikwara mwanamke wa hivyo utampata sokota hii stori nzuri ila ya uongo
 
We huwez kuwa ofisa unatumia tecno af unaombwa halafu unaombwa buku mbili na Phd holder sijui mwenye masters na Acca.Sidhani kama hata una idea ya mishahara ya chief accountants Phd holders wenye certification za Acca.
Hii ni chai tu,,,hamna mtu mwenye sifa hizo anaweza shoboka na mtumia tecno toka kijijini. Navyowajua wadada wa mjini kwa nyodo hasa wakiwa vitengo vikubwa full dharau kisha awe na njaa za buku 2?
Mkuu, kwanza natumia Tecno C5

Cha pili hyo ndo pesa nlokuwa nayo kwenye MPESA....2,000 kamili...nlificha coz nlijua mtanijudge sana tu..... Cha tatu mimi sio afisa sana kiasi kwamba nitishe watu, kwangu namiliki Sub-woofer na kitanda cha chuma na Flat screen ya Mr UK....ila huyo dada kanitisha sana, maana mimi sio level yake, nipo chini sana kwake, ndo kwanza nina miezi 5 kwenye ajira ya serikali...ila naamini nitajipanga zaidi baadaye niwe mjanja nipate mambo mazuri kifedha e.t.c....ila hilo la reaction ya huyo huyo Director of Operations limenitisha ndo maana nikaona nitegemee majibu yenu kama ni mtego au vipi.....

Sikatai, mimi ni mgeni Dar kabisaaa.....hata chuo nlichopatia Degree kipo mkoani tena vijijini kabisaaa
 
We huwez kuwa ofisa unatumia tecno af unaombwa halafu unaombwa buku mbili na Phd holder sijui mwenye masters na Acca.Sidhani kama hata una idea ya mishahara ya chief accountants Phd holders wenye certification za Acca.
Hii ni chai tu,,,hamna mtu mwenye sifa hizo anaweza shoboka na mtumia tecno toka kijijini. Navyowajua wadada wa mjini kwa nyodo hasa wakiwa vitengo vikubwa full dharau kisha awe na njaa za buku 2?
Mbna mm natumia Nokia tochi na nimeng"oa mzigo wa maana.
 
Back
Top Bottom