Namshakende
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 844
- 2,184
Vijana tafuteni hela kwanza [emoji389]! Mnawekeza nguvu kubwaaa kwenye ngono kama vile ni biashara ya hisa [emoji849], wakati muda wa kuwekeza kwenye maisha yako ndio huu. Uzee unakuja fasta, halafu mnaanza kutia huruma za kingese [emoji57].
Unajifanya wewe ni mwamba wa kuhudumia wanawake kwa mshahara wako wa 350k [emoji23]… acha mara mmoja!
Utajiri mtauona na kusikia tu kwenye redio na TV [emoji343][emoji342]. Kenge nyie, akili iwakae sawa mapema.
Uzi tayari.
Unajifanya wewe ni mwamba wa kuhudumia wanawake kwa mshahara wako wa 350k [emoji23]… acha mara mmoja!
Utajiri mtauona na kusikia tu kwenye redio na TV [emoji343][emoji342]. Kenge nyie, akili iwakae sawa mapema.
Uzi tayari.