Jemsi
Senior Member
- Mar 22, 2012
- 149
- 19
Wapendwa mpaka hapa nlipo ma2maini yangu ya kuendelea na chuo yamekata,kutokana na kuona kwenye profile nimeadmited chuo flan lakn jina halipo kwenye web ya chuo,nimesumbuka kuwapigia chuoni wameniambia majina waliyotumiwa na tcu ndio yapo kwenye web yao..lakini sijachoka,nikawapigia tcu hawapokei simu,nilivyoona hivyo nikawatumia email text lakini hawajibu..na mi siwezi kuwafikia nipo mbali sana....mpaka hapa nilipo nimekata matumaini kabisa,na sio kwamba ni second aplication mi niwa mara ya kwanza tcu kutupia majina kwenye profile na nina point 7 za kuniwezesha kuendelea na masomo..jf mnanishauri nini?