KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,147
- 32,950
Habari wakuu...nilimaliza kidato cha nne miaka kadhaa iliyopita..matokeo yangu yalikuwa mabovu sana...nikageukia upande wa pili..nikaamua kukimbizana na hela..nimefanya kazi kibao(kutembeza mitumba, kuchoma mahindi na mishikaki..na kubeba zege) lakini naona hela nayo imeota miguu na inanizidi mbio...nimeona bora nirudi school...nimegundua maisha bila elimu ni sawa na kusafiri bila nauri..