Nimechoka kuachwa, kisa najituma sana

Nimechoka kuachwa, kisa najituma sana

LEVEL

Senior Member
Joined
Jul 4, 2013
Posts
195
Reaction score
51
Imefikia muda ata kutongoza tena naogopa kwani nahofia ata nikimpata atanikimbia kwani imekua ni kawaida yao kunikimbia sababu kubwa hasa ikiwa ni kuwa naomba game kila siku napisha siku za mwezi tu sasa jamani.

Nauliza kama mtu una mpenzi wako unaishi naye na nguvu zipo za kutosha huna mchepuko unakula vizuri kwa nini usimpe haki yake effectively ukitoa kidogo wanalalamika ukitoa full dozi kutwa mara tatu kelele.

Tufanyeje sasa
 
Ushauri wa kitaabibu

Kula sana samaki kwani inaongeza sana ukuaji wa ubongo maana wengine mnasikitisha kama hii maadaa ya mtoto wa miaka 16 imeandikwa na jibaba lenye familia yake
 
Acha kujiendekeza ww fanya mazoezi mengine kwani lazima ufanye huo ujinga?
 
Sawwaa nimeshakusoma kwamba urijali hasa on bed!
 
Hujawah kutana na hiko kibango!!
 

Attachments

  • 1447450075011.jpg
    1447450075011.jpg
    18.7 KB · Views: 2,649
Mmmmnh,nafolen zote,mihangaiko yakutafuta pesa kuamka saa kumi ,kurud home SAA tano bado unaham kubwa kiasi hicho😨😨unakapepo mahaba aiseee
 
Aisee hata mimi ningekukimbia kiukweli.Imekuwa pumzi hiyo ukikosa unakufa
 
Imefikia muda ata kutongoza tena naogopa kwani nahofia ata nikimpata atanikimbia kwani imekua ni kawaida yao kunikimbia sababu kubwa hasa ikiwa ni kuwa naomba game kila siku napisha siku za mwezi tu sasa jamani.

Nauliza kama mtu una mpenzi wako unaishi naye na nguvu zipo za kutosha huna mchepuko unakula vizuri kwa nini usimpe haki yake effectively ukitoa kidogo wanalalamika ukitoa full dozi kutwa mara tatu kelele.

Tufanyeje sasa

Mapenzi ni burudani, ikiwa kila siku hugeuka kuwa ni karaha.

Tafakari, kisha chukua hatua.

Babu HP
 
kuna maisha zaidi ya kufanya ngono,
kama una nguvu zi lazima ufanye kitendo hicho, unaweza kufanya mazoezi ya viungo, mpira, ukatoka na washkaji ukapoteza muda wa kuwaza hayo and the like.

mapenzi ni wote wawili mridhie na kukubaliana, uwe unajadiliana na mwenzio pia.
tatizo lako unadhani kufanya mapenzi mara nyingi na muda mrefu ndio kutimiza haki kwa mpenzi wako, mkiwa wapenzi mna mengi ya kufanya zaidi ya hilo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom