Nimechekaje!!!?!!

Nimechekaje!!!?!!

Mb-one

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2011
Posts
884
Reaction score
1,296
Ustadh katika mizunguko zunguko yake alikutana na m'mke mrembo sana. Yule ustadh alishindwa kustahmili, ikabidi amwite na kumuambia:-

"Wewe binti hakika Allah kakupa kila kitu isipokuwa kitu kimoja tu!".

Binti akastuka, akauliza kwa mshangao na uoga mkubwa:-
"Ni kitu gani hicho!"

Ustadh akamjibu: "NAMBA YANGU YA SIMU! WALLAHI HUNA!
 
hahahahahahaaaaaaaaasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhhhhhhhhaaaaaahahhahahahahahaha
 
Kutaja sifa za vitu, kitu, watu uonesha uwezo wa muumba, ustadh amefanya kile anachopaswa kufanya lkn hapo kwy namba ya simu ndio matatizo yanapoanzia
 
Hahhaha na mm mbona nilikupa shehe ustadhii jumaaa

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mazungumzo baada ya habari yamekujia kutoka JF network, dunianiiiiiiiiiii.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kama Mungu kampa kila kitu kwa nini namba apewe na binti.......majanga
 
kama binti angemwambia anayo...ustadh si angezimia akidhani binti ni jini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom