Nimechanganyikiwa wana mmu

Nimechanganyikiwa wana mmu

dvedastuss

Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
35
Reaction score
11
Nimeishi naye kwa miaka 8 ndoa ikiwa na furaha kama ni makosa bac ni madogo mdg tuliombana msamaha yakaisha ila tuliishi mbali mbali sababu ya kazi ya mume nami nikiwa na kazi Mwenyezi alitujalia watoto 3, ke 2 na me 1 na sasa huyu me ana miezi 3,tatizo lilianza 2013-2 tuenda kwa wazazi wa mume kuzungumza lkn hakuna msaada zaidi kwani mume kabla hatujakaa kikao na wazazi wake aliondoka akanambia nami nirudi kwangu na watoto kwani tumejenga,tuliongea na mume wangu kuwekana sawa maisha yakaendelea lkn cha ajabu baada ya kujifungua huyu mtoto mume hataki tena mawasiliano anasema mimi nilitaka kumuua na kwenye nyumba amenitoa na yeye anataka kwenda n'gambo kutafuta maisha kaacha kazi na mimi alinizuia baada ya kutoka kwenye uzazi sasa anataka watoto hawa wakubwa niwapeleke kwa mama yake nami sipendi kutengana na wanangu kwani nawapenda sana na sijawi tengana nao tangu nimewazaa daima wamekuwa watoto wenye furaha,sasa niko kwa ndugu zangu na watoto je nifanyeje kwani hata kuwajulia hali watoto sasa ni shida.
 
Polee tafuta watu wazima wenye busara wakaongee nae
 
Mmmmmmmmh! Acha kupoteza muda, TAFUTA KAZI, PANGA NYUMBA, JITUTUMUE KUWAPA WATOTO MAISHA! Mtegemea cha ndugu hufa masikini.
Kuachika si kilema au kifo! Ni stage tu ya maisha. Ukisimama vizuri kiuchumi atardisha tu FREE PUMB zake sooner than you expect.
Ku moarn kupp ila usizidishe you are being SELFISH! YES VERY SELFISH to your kids, punishing them without your knowledge for their fathers mistake.
Be inspired with Mama Lara 1, mwenzio kafuga kuku sanaaa, anafanya kazi mpaka saa 5 usiku na zingine anarudi nazo home, WITH OR WITHOUT DADY LIFE WILL ALWAYS BE THE SAME AND THE BEST IN LIFE IS NOT AN OPTION FOR HER KIDS! My dad nae alizamiaga nje, akakuta bi mkubwa yupo larger than ever, ana mjengo wake, na maisha bomba kabisaaa! Akamuuliza tu ndo umerudi jumla au unapita mwenzangu? Sie tupo utavojisikia ukae, uende sio issue. Tunakaribia anivesary ya 28yrs in mariage lakini angelegea ingekuwa story
Ujue mwanaume ukishamjua hatakiwi kukusumbua, sasa wako huyo irresppnsible basi nenda nae kikomandoo. Dont male his miatakes destroy your life n your kids life. You are stronger than that.
Stop WHINING HERE ingia zoom anza ku apply kazi. All our sympathy cant pay schoolfeez to your kids.

Lara 1 anatamani sanaaa kuolewa! Nisiongee mengi manake kuna issue serious hapa ila kingasti na miss neddy, JICHO TAI, muke ya muyahudi, nadhani mmwnisoma hii line ya mwisho
 
Last edited by a moderator:
Ameamua kukuacha wewe uteseke na watoto yeye akale maisha ng'ambo. Fanya juu chini watoto ishi nao wewe kwani watakua faraja kubwa sana kwako na utasahau maumivu haya. Muombee mafanikio aendako lakini kuna siku atakurudia kwa magoti akijitambua yu mkosaji.
 
Nimeishi naye kwa miaka 8 ndoa ikiwa na furaha kama ni makosa bac ni madogo mdg tuliombana msamaha yakaisha ila tuliishi mbali mbali sababu ya kazi ya mume nami nikiwa na kazi Mwenyezi alitujalia watoto 3, ke 2 na me 1 na sasa huyu me ana miezi 3,tatizo lilianza 2013-2 tuenda kwa wazazi wa mume kuzungumza lkn hakuna msaada zaidi kwani mume kabla hatujakaa kikao na wazazi wake aliondoka akanambia nami nirudi kwangu na watoto kwani tumejenga,tuliongea na mume wangu kuwekana sawa maisha yakaendelea lkn cha ajabu baada ya kujifungua huyu mtoto mume hataki tena mawasiliano anasema mimi nilitaka kumuua na kwenye nyumba amenitoa na yeye anataka kwenda n'gambo kutafuta maisha kaacha kazi na mimi alinizuia baada ya kutoka kwenye uzazi sasa anataka watoto hawa wakubwa niwapeleke kwa mama yake nami sipendi kutengana na wanangu kwani nawapenda sana na sijawi tengana nao tangu nimewazaa daima wamekuwa watoto wenye furaha,sasa niko kwa ndugu zangu na watoto je nifanyeje kwani hata kuwajulia hali watoto sasa ni shida.

Tumia sheria sasa wale watu wa haki za binadamu especially mambo ya wanawake hiyo ndoa ishakua ngumu kwahiyo tetea furaha yako kwa wanao
 
mhhh kuna jambo nyuma ya pazia sio buree hapa.
haiwezekani maamuzi magum kama hayo mumeo ayachukue bila kuwa na kisababishi .

kuna jambo unalificha hapa ambalo ndio msingi na ndio chanzo cha matatizo haya yoote
 
Kweli umechanganyikiwa pole sana hapo tumia sheria tu wala usijali Kama amekuchoka basi jua sheria haijakuchoka!
 
kweli ndoa zina taabu,hakuna kitu kingine chochote kitakachoweza kukusaidi isipokuwa kuomba kwa MUNGU. maisha ndivyo yalivyo kila jambo na wakati wake,wakati washida na wakati wa raha ni vyema ukayapokea hayo yote kwa uvumili kwa matarajio yakuwa yatapita, MUNGU akupe nguvu mama yangu.
 
pole sana mama ngu. historia itamhukumu. wewe vumilia tu!
Aaaah ! Wapi hio kujifariji tu! Yeye aangalie ustaarabu wakw na kumuomba Mungu amfanyie mzigo wake wepesi. Huoni Machaxhe na Miss wanajiachia tu hakuna kilichomrudi wala nini. Mungu ni mwenye huruma mpaka basi.
 
Mwanaume kachoka n he wants out! Utamlazimiasha.????? Why is not a solution hapa.

Hii story iko nusu ..usi jump na conclusion ...hatujui version ya mume ikoje....mwanaume huwezi tu kumchoka mkeo na Watoto uende nje ghafla kuanza upya
 
To begin with get a job.

Get a house, move out of your relatives homes.

Get custody of your kids.

You can make it on your own, Just pray and work hard at whatever you do.

No matter what, don't let your kids see you at your worst.

Good Luck.
 
Hii story iko nusu ..usi jump na conclusion ...hatujui version ya mume ikoje....mwanaume huwezi tu kumchoka mkeo na Watoto uende nje ghafla kuanza upya

Sawaaaa! Hamuoni waliishi kwa raha 8 yrs blah blah na kuna trouble in the paradise ? Whatever the roblem thw guy wants OUT! Ndo concern ya huyu bibie sio huo ugomvi wao! Ndo maana dhima ya hii iahuw iko kwenywe hilo gumegume kufungasha virago siko huko mnapo kuchimba nyie kwenye chazo

Mtu ashauriwe depwnding on what she is willing to share! Kumchimba sanaaa sio uungwana. Alafu akifunguka sanaa mtajua ni nani in real life kwa kuunganisha dots.
 
Sawaaaa! Hamuoni waliishi kwa raha 8 yrs blah blah na kuna trouble in the paradise ? Whatever the roblem thw guy wants OUT! Ndo concern ya huyu bibie sio huo ugomvi wao! Ndo maana dhima ya hii iahuw iko kwenywe hilo gumegume kufungasha virago siko huko mnapo kuchimba nyie kwenye chazo

Mtu ashauriwe depwnding on what she is willing to share! Kumchimba sanaaa sio uungwana. Alafu akifunguka sanaa mtajua ni nani in real life kwa kuunganisha dots.
The point hapa ni kum blame mwanaume hujui story yake. Usimuite gumegume labda ni kweli for his happiness ni bora hii ndoa na ife we don't know..mshauri mdada bila kumlaani mwanaume
 
Atakutoaje kwenye nyumba???? nenda mahakamani kama uko dar ni pm nikuletee mwanasheria.
 
kiukweli hapa hatutendi haki tukimhukumu mwanaumme wakati story ni nusu. Wanawake wengi wa sasa hawajui kuishi na waumme zao ndo maana hata wanaumme wengi wanaishia kupata magonjwa ya moyo, presha ama kutoka nje ya ndoa kwa wingi. Kwa wale walio oa/olewa wananielewa vizuri, wamama hawajui kwenda na beats na waumme zao na hata mwanaumme akijitahidi namna gani mwanamke atamwona wa ajabu. Hivyo ushauri kwa huyu dada ajitahidi aishi na watoto wake hata kama ameachika. Makosa yako ya leo ni majanga/faida yako ya kesho
 
Back
Top Bottom