Nimechaguliwa Arusha Technical College naomba muongozo

Nimechaguliwa Arusha Technical College naomba muongozo

Unasoma Computer Science uje uwe nani? kasome Civil au Electrical wewe.. kama utakomaa na hiyo ukimaliza nitafute uje u-install games kwenye Pc ya mwanangu
 
Kitambo Sana wanatoa degree



.

Sasa wewe wa Malambo upo huko huko Arusha kuna kutuuliza kwenye mtandao?
Halafu Arusha Technical wameanza kutoa lini degree?
 
Wadau profile yangu inaonesha provisionally selected mpaka leo ila jina langu silioni udom nilikopangiwa mpaka leo pamoja na batch five kutoka za degree nifanyeje? Nisaidieni ushauri jamani!
 
Back
Top Bottom