God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,068
- Thread starter
-
- #101
Nilikua uchi kitandani kwao ndio.Ina maana hiyo juice uliyokunywa ndo ilisimamisha mashine wakati ukiwa huna fahamu ? natamani umalizie kilichoendelea kwamba ulipoamka ukajikuta uchi na wao uliwakutaje ? manake tunashindwa kukushauri manake mara useme mengine siri yako sasa sijui walijiingiza kunako siko au walikupiga picha yaani unatuacha hewani tu
Busta ilitumika,hiyo hata ukizima kitu bado kinasimama "Dede"Kama ulikata moto huo MPINI ulikufyatuka vipi?
UTATA WA BWANA YULENia marafiki wa tatu tumefahamiana toka mwaka juzi, wadada wawili wa kike mapacha na dada yao wametofautiana miaka miwili.
Tumekua tukibadilishana mawazo na kusaidiana pale msaada unapohitajika mfano kama kutafuta mafundi ujenzi, umeme nashughuli nyingine ambazo wao wanawake huwa wanamtegemea mwanaume.
Kwa nafasi niliyonayo nimekua kama msaidizi wao wa karibu sana. Siwezi kuorodhesha yote niliyowafanyia ni mengi mno ila akilini mwangu nilijua ni watu wangu tuu wa karibu hivyo maisha yamesonga hadi sasa.
Mimi nimeoa na nina familia ya watoto wawili na mke. Leo mchana waliniita wakaniambia nikawapige tafu basi mimi nikaaga nikaenda. Kufika nikawakuta wako mezani wanakula, wakanikaribisha mimi nikaendelea kidogo kwa sababu nilikua nimetoka kula mda sio mrefu.
Nikawaambia wanipe juice niwasindikize kidogo. Basi wakafanya hivyo baada ya dk kadhaa juice ikaingia mimi nikaanza kunywa mdogo mdogo. Nakumbuka tulitumia zaidi ya nusu saa, tukipiga stori za hapa na pale.
Nikaanza kujisikia siko fresh nikawaambia ngoja nilale hapa kwenye kochi halafu nyie mkiwa sawa nishtueni twende. Huko ndo nilipotea kabisa nikaja kushtuka mida ya sa kumi na moja niko hoi.
Any way kilichonikuta leo nawahakikishia nitamwadhibu mmoja baada ya mmoja hadi nafsi yangu iridhike. Yani hawa wamenidhalilisha kiasi hiki? Hapana hii ni siri yangu na wao kama wako huku msome huu uzi lazima niwafanye mbaya tuu. Mimi sio wa kufanyiwa huo upuuzi.
Na kwanzia sasa sina mda na nyie. Nimekua nikiwasaidia kama ndugu zangu leo hii mnanivua nguo na kunifanya kama mume wenu wanawake wa tatu? Na hapo mnajua mimi ni mume wa mtu?
Hapana uchungu nilio nao lazima nitawafikisha pabaya.
Mkuu jana nilishinda sebleni nikizuga naangalia TV, nikiwahoji maswali kadhaa leo tunaenda kupima ngoma kwanza maana hapo ndo nachoka kabisa kama hawajaadhirika ndio ntakua katika amani na nafasi nzuri ya kuwaadhibu ipasavyo.Naisikitia familia yako....ikiwa wewe ndio baba na kichwa cha familia basi familia yako imeshapoteza muelekeo......
[emoji12] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kama ulikata moto huo MPINI ulikufyatuka vipi?
Mkuu sijatiwa vidole naomba tuheshimiane! Mashine imepoa sana maana waliinyonya ipasavyo.Watakuwa walimtia vidole..!
Nyote niliowa Quote naomba niwaulize kabla sijajua jinsi zenu, je, kwa kawaida Mwanadamu anapolala huwa anajitambua au hajitambui, kama hajitambui kwa nini Mwanaume aliyekamilika akiamka hukuta UUME UMESIMAMA? Binafsi hata nikimaliza kujamiiana huwa nalala na nikiamka nakuta Uume umesimama tena, hivyo naomba mechi nyingine kisha ndo nasepa, hivyo nakubaliana na mtoa mada amewekewa dawa za usingizi amelala na wao wakambaka hii ni kweli, kama kuna wataalamu wa afya humu naomba waje walielezee kwa kina hili, ikumbukwe KULALA sio KUZIMIA (kupoteza fahamu kama mnavyodai)
Mkuu jana nilishinda sebleni nikizuga naangalia TV, nikiwahoji maswali kadhaa leo tunaenda kupima ngoma kwanza maana hapo ndo nachoka kabisa kama hawajaadhirika ndio ntakua katika amani na nafasi nzuri ya kuwaadhibu ipasavyo.
Huo ni uongo uliotukuka kama ulizima na dude nalo lilizima ila utakua ulijizimishaNia marafiki wa tatu tumefahamiana toka mwaka juzi, wadada wawili wa kike mapacha na dada yao wametofautiana miaka miwili.
Tumekua tukibadilishana mawazo na kusaidiana pale msaada unapohitajika mfano kama kutafuta mafundi ujenzi, umeme nashughuli nyingine ambazo wao wanawake huwa wanamtegemea mwanaume.
Kwa nafasi niliyonayo nimekua kama msaidizi wao wa karibu sana. Siwezi kuorodhesha yote niliyowafanyia ni mengi mno ila akilini mwangu nilijua ni watu wangu tuu wa karibu hivyo maisha yamesonga hadi sasa.
Mimi nimeoa na nina familia ya watoto wawili na mke. Leo mchana waliniita wakaniambia nikawapige tafu basi mimi nikaaga nikaenda. Kufika nikawakuta wako mezani wanakula, wakanikaribisha mimi nikaendelea kidogo kwa sababu nilikua nimetoka kula mda sio mrefu.
Nikawaambia wanipe juice niwasindikize kidogo. Basi wakafanya hivyo baada ya dk kadhaa juice ikaingia mimi nikaanza kunywa mdogo mdogo. Nakumbuka tulitumia zaidi ya nusu saa, tukipiga stori za hapa na pale.
Nikaanza kujisikia siko fresh nikawaambia ngoja nilale hapa kwenye kochi halafu nyie mkiwa sawa nishtueni twende. Huko ndo nilipotea kabisa nikaja kushtuka mida ya sa kumi na moja niko hoi.
Any way kilichonikuta leo nawahakikishia nitamwadhibu mmoja baada ya mmoja hadi nafsi yangu iridhike. Yani hawa wamenidhalilisha kiasi hiki? Hapana hii ni siri yangu na wao kama wako huku msome huu uzi lazima niwafanye mbaya tuu. Mimi sio wa kufanyiwa huo upuuzi.
Na kwanzia sasa sina mda na nyie. Nimekua nikiwasaidia kama ndugu zangu leo hii mnanivua nguo na kunifanya kama mume wenu wanawake wa tatu? Na hapo mnajua mimi ni mume wa mtu?
Hapana uchungu nilio nao lazima nitawafikisha pabaya.
Huyu mleta thread anaona hapa jf kila mtu ni mtoto mwenzake, how come umezima KITU kisimame ?Hivi ukizima na machine nayo Si inazima....
Mkuu kila mtu ana mapito yake ila tuu tambua mimi niko stable na familia yangu iko poa. Yule mama nampiga kalenda bado maana bado nafsi yangu haijawa huru.mkuu big gift yule mama wa kazi(your temporary boss lady) ambae ulisoma na mwanae mshamalizana?,mbona mikasa yako yote imeegema kwenye ngono tu,una mwanamke kweli wewe?maana mtoto wa kiume ila unapenda sana kutongozwa...acha tabia hizo,zitakuathiri...afu utaanza kulalamika serikali imezuia vilainishi(lubricants)
Hapo naona umechanganya na ile tunaita Nusu Kaputi inayotumika Hospital kabla ya upasuaji ambayo inakuwa na Ganzi, "mpwa wangu alipotahiriwa alikuwa akilia sana kutokana na maumivu baada ya ganzi kuisha sasa mimi kuona hivyo na ikizingatiwa yeye mwenyewe(Mama wa Mtoto) ni Muuguzi nikamuuliza kwa nini usimpe dawa ya usingizi alale?akanijibu wazo zuri, akachukua kidonge kimoja akampa mtoto hakulala kama nilivyotarajia, alilegea tu". Kuhusu Biology nimesoma tena nilikuwa na ndoto ya kuwa Daktari Bingwa wa Upasuaji, sasa wewe unaejua endelea kusema mtu akipewa dawa za usingizi sense zote zinakata.Mkuu usilete ubishi, kama ungekuwa walao umesoma masomo ya sayansi wala usinge
leta ubishi, hivi unawezaje ku equate kupoteza fahamu na usingizi hivi ni vitu viwili tofauti,ukiwa usingizi mtu senses zote zina endelea kufanya kazi hisipo kuwa sense ya kuona - ukiwa usingizini mtu akikufinya utahamuka, kukitokea kelele utahamuka nk lakini ukiwa umepoteza fahamu sense zote zinakuwa shut down including sexual arousal - uwezi kabisa ku recall kilicho tokea - mtu anaweza kupoteza fahamu akabaki hivyo hivyo kwa wiki, miezi wakati mpaka miaka kabla fahamu azijamrudia - je, kuna binadamu analala wiki nzima kabla hajahamka?