Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,465
.........lol...........lol.........lol.......... Dah!
Out of curiosity hivi yule mdogo wenu si mpaka aoneshe ushirikiano ndo aweza hail?
Kama uko anda eji nenda kamshitaki..!
Bure aghali, ulidhani zile bia wanyeshwa yamekuwa maziwa yale
Alikuwa analisha ng'ombe wake ili apate maziwa ya kumkamua
He he he, ushaongeza idadi tena
Kama walikuwa 76 wamekuwa 77
Duh! bora unaongeza mifugo wako
Umeanza mwaka vizuriiii
Yule ni babu sio mdogo. Kuwa na heshima :lol:
Acha kumshusha.
Yule ndio mkubwa na sie wadogo wake.
OTIS
Ashadii : biere = Beer & bapa = Konyagi ya Chupa : ukichanganya hivyo viwili "bwana mdogo" can hardly resist!
Mbona babu anategemea saana "V"? Basi bora useme kaka.... Siamni kabisa kua ni babu yenu yule...
BTW namuheshimu saana hilo hata wandani wangu aelewa.....lol... :A S embarassed:
Kama uko over 18 hujabakwa... Sasa hukanyagi ofisini kisa nini? Wachezeya kazi wewe eeh? Na je ikitokea jimama asikanyage kabisa itakuwaje?amen'zidi sana moa than 10 nahisi..........afu naskia ofisini hajakanyaga tangu jana!!...na mi pia sikanyagi hadi aanze yeye...wanasheria plz mniPM
BTW namuheshimu saana hilo hata wandani wangu aelewa.....lol... :A S embarassed:
hii ni every teenager's dream....lol
huyu dada nafanya nae ofisini.
huwa tunamazoea ya kupiga story mbili tatu wkat wa kazi na ni ya kawaida na hajawahi kunionyesha hisia zozote za mapenzi.
hajaolewa,ni mtu wa makamo around 40yrs..ana mtoto mmoja..akanialika kwake nikamtembelea niu yia..jioni ivi!
basi stor za hp na pale zikaendelea hasa hasa tulikua tunawazungumzia wafanyakaz wenzetu.......kilaji kilikua biere na yeye bapa!!
mara while on the way akanirukia kwenye sofa na kuniambia leo ni leo lzm nimsaidie amevumilia sana...!!huku akiendelea na mahaba ya ajabu nikapagawa..!!akili ikahama...nikashindwa kufurukuta jinsi nlivyokua nimebananishwa!!.........within a second alikua tyr yupo mtupu...........nashkuru alinivalisha dawa ya pendhi!
je naweza kumchukulia hatua za kisheria?.........naomba wataalam wa sheria wanipe muongozo hili limekaaje!!....nipo sirias wadau
:lol: kwa heshima anayopata ndo maana anaitwa babu!