Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,406
- 79,652
Haya mambo waachie waliooa. Haipo hivyo kwa groundWanawake wakibongo hawana ubavu huo kaka. Wanavyopenda hela ya mwanaume wee tomber tuu nje huko mke akikufuma wala usikatae kubali. Sana sana kitaitoshwa kikao cha familia na ukikiri kosa watamwambia mke rudi mkalee watoto. Ndio imeisha hiyo