RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,745
- 107,897
- Thread starter
- #41
Huna mamlaka ya kuniambia niandike nini hapa JF, ukiona nilichoandika hakina maana pita tu sio lazima uchangie.Sasa waeleze watu kuusu aina yako ya mazoezi kama uwelewi faida ya aina ya mazoezi ya free weight achana nayo sio kuponda tu