RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,872
- 129,872
- Thread starter
- #421
Inategemea na intensity. Ukiruka kamba kwa intensity kubwa na anaekimbia at a slow pace obvious wa kamba atapoteza more weight.Kati ya kuruka kamba na jogging zoezi lipi linaongeza pumzi na kupunguza weight?
Ila hayo ndio mazoezi makuu ya kupunguza uzito.
mkuu na comment hii reply yako japo ya longtime, kama nakuona vile unapopiga push up, halafu unabakia palepale chini, ukitaka kuinuka mikono inatetemka