Nimeanza maisha ya kupanga sina ajira wala biashara inayoningizia kipato

Mboka man

JF-Expert Member
Aug 22, 2020
478
1,638
Leo ikiwa ni siku ya pili tangu nimeanza maisha ya kujitegemea mpka sasa sina ajira wala biashara inayoningizia kipato na hela nilionayo mfukoni ni laki mbili na nusu tuu

Nilikuwa nina laki tano nilitumia laki mbili na nusu kulipia kodi na kununua vitu vidogo vya ndani na chakula kidogo mpka sijui nini cha kufanya hivyo naombeni mawazo yenu ni jinsi gani naweza kupambana na haya maisha
 
Leo ikiwa ni siku ya pili tangu nimeanza maisha ya kujitegemea mpka sasa sina ajira wala biashara inayoningizia kipato na hela nilionayo mfukoni ni laki mbili na nusu tuu

Nilikuwa nina laki tano nilitumia laki mbili na nusu kulipia kodi na kununua vitu vidogo vya ndani na chakula kidogo mpka sijui nini cha kufanya hivyo naombeni mawazo yenu ni jinsi gani naweza kupambana na haya maisha
Kabla ya njaa ijakuua Tafuta dumu na kipande cha taulo Nenda kituo ambacho watu wengi wanapaki magari na kuingia ofisini jipendekeze kuwaoshea mwisho wa siku itakuwa kama kituo chako cha car wash.UTANISHUKURU AISEE
 
Ulichokosea, ni kutoka mapema hapo ulipokua unaishi.

Umepata hizo hela ungeendelea kukaa hapo, huku ukifanya biashara unayoifikilia, baadae ukiimalika ndipo, ungeanza kujitegemea kwa kupanga chumba.

Ikiwa pamoja na kununua baadhi ya mahtaji.
 
Leo ikiwa ni siku ya pili tangu nimeanza maisha ya kujitegemea mpka sasa sina ajira wala biashara inayoningizia kipato na hela nilionayo mfukoni ni laki mbili na nusu tuu

Nilikuwa nina laki tano nilitumia laki mbili na nusu kulipia kodi na kununua vitu vidogo vya ndani na chakula kidogo mpka sijui nini cha kufanya hivyo naombeni mawazo yenu ni jinsi gani naweza kupambana na haya maisha
Hiyo iliyobaki ndenda, wanakokata mtumba upoint nguo zinazo uzika kajipange maeneo yenye watu wengi uza.
Utaona matumaini pesa.
Uzuri wa biashara hii, haina vitu ambatana vya kununua ili ufanye biashara, mfano meza au makolokolo mengine ya kufanyia mafuta, ukishanunua moja kwa moja ukianza kuuza unatafuta hela yako.
 
Leo ikiwa ni siku ya pili tangu nimeanza maisha ya kujitegemea mpka sasa sina ajira wala biashara inayoningizia kipato na hela nilionayo mfukoni ni laki mbili na nusu tuu

Nilikuwa nina laki tano nilitumia laki mbili na nusu kulipia kodi na kununua vitu vidogo vya ndani na chakula kidogo mpka sijui nini cha kufanya hivyo naombeni mawazo yenu ni jinsi gani naweza kupambana na haya maisha
Ulifukuzwa ulipokuwa unaishi?
 
Angalia vijana wa mtaani shughuli wanazo Fanya kuingiza kipato kisha ungana nao Ila tu usijaribu kufanya magendo utajuta kuzaliwa
 
Kabla ya njaa ijakuua Tafuta dumu na kipande cha taulo Nenda kituo ambacho watu wengi wanapaki magari na kuingia ofisini jipendekeze kuwaoshea mwisho wa siku itakuwa kama kituo chako cha car wash.UTANISHUKURU AISEE
Nlivyosoma hii comment nlijua ni October man mzee wa carwash ..
 
Mkuu hakuna kurudisha mpira kwa gori kipa

Ushapewa jezi upo uwanjan ni kupambana tu mpaka gori lipatikane
 
Back
Top Bottom