squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,174
Habari zenu.
Ni kwamba nilikuwa n tabia ya kupenda wadada wasafi fulani kimuonekana, yaani maduu.
Mwezi uliopita niliend kula kwa ama lishe, sijajua kilitokea nini. Kuna binti kimuonekano "mchafu mchafu" alikuwa anaosha vyombo. Nikaenda nawa mikono karibu na alipokuwaweo.
Mara paaaah, nikamtania na mwisho nikapata namba kiutani tu. Waa sikuwa n nia ya kumtongoza ila nilijikuta ndani ya siku mbili namtongoza. Nilifanikiwa kumgonga.
Nimemgonga mara kadhaa sasa. Ila kuna kitu naanza kuvutiwa na wadada wa type yake.
Sasa hivi kuna binti anauza juisi ya miwa, ananivutia kweli kama mwanamke, kuna dada mtembeza mboga ananivutia kweli, yupo mwingine muuza gengeni ananivutia kimapenzi kweli..
...Sijaju yule wa kwanza alinipa nini ila ana ule usilia kuanzia harufu na vuzi na nk...hawa wanawake ukiwaangalia ni kama "wachafu wachafu hivi" ila nimejìkuta nahamisha majeshi...
Ni kwamba nilikuwa n tabia ya kupenda wadada wasafi fulani kimuonekana, yaani maduu.
Mwezi uliopita niliend kula kwa ama lishe, sijajua kilitokea nini. Kuna binti kimuonekano "mchafu mchafu" alikuwa anaosha vyombo. Nikaenda nawa mikono karibu na alipokuwaweo.
Mara paaaah, nikamtania na mwisho nikapata namba kiutani tu. Waa sikuwa n nia ya kumtongoza ila nilijikuta ndani ya siku mbili namtongoza. Nilifanikiwa kumgonga.
Nimemgonga mara kadhaa sasa. Ila kuna kitu naanza kuvutiwa na wadada wa type yake.
Sasa hivi kuna binti anauza juisi ya miwa, ananivutia kweli kama mwanamke, kuna dada mtembeza mboga ananivutia kweli, yupo mwingine muuza gengeni ananivutia kimapenzi kweli..
...Sijaju yule wa kwanza alinipa nini ila ana ule usilia kuanzia harufu na vuzi na nk...hawa wanawake ukiwaangalia ni kama "wachafu wachafu hivi" ila nimejìkuta nahamisha majeshi...