jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Ndugu zangu, habari yenu wakuu.
Ndugu yenu mwenye life style mbaya na mwenye kujikatia tamaa baada ya kusomesha mtoto wakike kwa lengo la kumuoa na hatimaye kunipiga chini nilijikuta nikichukia sana wanawake na mweye msongo mkali wa mawazo na huzuni tele moyoni.
Akili na nafsi yangu viliathirika pakubwa sana , sasa nimejitahidi ila hisia za kimapenzi zimepotea kabisa naombeni ushauri maana watoto wakike wananidharau kweli na kujitenga nao siwezi.
Ni Miezi mitano sasa imepita najikuta Nimepoteza uwezo wa kihisia na mwanamke hata akivua nguo naona kawaida kabisa na hakuna kinachoendelea , nipo nipo tuu sahivi.
nimesha laumiwa na wanawake wapatao watatu (03) mpaka sasa na wengine wananiuliza hivi wewe upo sawa kweli. Na wajibu nipo sawa ni kuna mambo tuu hayajakaa vizuri
wanashangaa sana nipo nipo tuu sieleweki yani hata wakinipapasa au kunivulia nguo akili inakua mbali sana kimawazo asiye na raha wala kusisimka kimapenzi kwa lengo la kunyandua.
Nipo hapa kuomba ushauri wenu kwani kwa upande wangu nimeshajitahidi sana kucontroal mawazo ila hisia za kimapenzi ndiyo bado hazijarudi kama awali wakuu.
Kama kuna namna ya kufanya hisia zangu ziamke kama hawali naombeni msaada wakuu.
Hii hali inanifanya nianze kuwa kwepa sana wanawake japo naona siyo sawa kufanya hivyo.
Anaye fahamu jinsi ya kurudisha hisia za kimapenzi zilizopotea au kuathiriwa na msongo mkali wa mawazo anisaidie wakuu.
Asanteni
Ndugu yenu mwenye life style mbaya na mwenye kujikatia tamaa baada ya kusomesha mtoto wakike kwa lengo la kumuoa na hatimaye kunipiga chini nilijikuta nikichukia sana wanawake na mweye msongo mkali wa mawazo na huzuni tele moyoni.
Akili na nafsi yangu viliathirika pakubwa sana , sasa nimejitahidi ila hisia za kimapenzi zimepotea kabisa naombeni ushauri maana watoto wakike wananidharau kweli na kujitenga nao siwezi.
Ni Miezi mitano sasa imepita najikuta Nimepoteza uwezo wa kihisia na mwanamke hata akivua nguo naona kawaida kabisa na hakuna kinachoendelea , nipo nipo tuu sahivi.
nimesha laumiwa na wanawake wapatao watatu (03) mpaka sasa na wengine wananiuliza hivi wewe upo sawa kweli. Na wajibu nipo sawa ni kuna mambo tuu hayajakaa vizuri
wanashangaa sana nipo nipo tuu sieleweki yani hata wakinipapasa au kunivulia nguo akili inakua mbali sana kimawazo asiye na raha wala kusisimka kimapenzi kwa lengo la kunyandua.
Nipo hapa kuomba ushauri wenu kwani kwa upande wangu nimeshajitahidi sana kucontroal mawazo ila hisia za kimapenzi ndiyo bado hazijarudi kama awali wakuu.
Kama kuna namna ya kufanya hisia zangu ziamke kama hawali naombeni msaada wakuu.
Hii hali inanifanya nianze kuwa kwepa sana wanawake japo naona siyo sawa kufanya hivyo.
Anaye fahamu jinsi ya kurudisha hisia za kimapenzi zilizopotea au kuathiriwa na msongo mkali wa mawazo anisaidie wakuu.
Asanteni