Paramagamba
Member
- May 12, 2017
- 85
- 129
Wadau mwenye kujua madhara endapo nitaogea sabuni ya Omo hasa katika korodani anijuze.
Korodani zangu zinatoa sana harufu nimeanza kuogea Omo baada ya sabuni nyingine zote kudunda kuanzia detol, protex na kadhalika.
Korodani langu linatoa sana harufu huu ni mwaka wa 18 harufu haitaki kutoka. Mwanzo nilidhani labda ni fangus ambazo ni chronic lakini hakuna cha fangus wala nini nimepaka sana cream za fangus na kumeza dawa zake moja inaitwa zocon lakini hakuna kitu sio fangus bana.
Shuleni nilikuwa na tabia ya kuvaa chupi hata kama haijakauka vizuri kambani inakuja kukaukia mwilini. Ninahisi hicho ndiyo chanzo cha haya mateso yote. Nikikaa karibu na mtu hata kwa dakika mbili anaugua mafua pale pale na kupiga chafya za kutosha. Kabla sijanunua gari nilitesa watu wengi sana kwenye hizi daladala. Kila mtu alikuwa anahama siti yangu endapo atapata fursa ya kuhamia kwenye siti ya abiria mwingine aliyeshuka kwenye daladala. Hili ni janga ndugu zangu.
Kazini kuna AC za kutosha na huwa ninavaa boksa za pamba 100% lakini hakuna kitu. Korodani zangu hazina majira ya kiangazi, vuli, kipupwe wala masika iwe joto iwe baridi harufu ipo pale pale. Naogopa kukutana na watu. Ningekuwa nimeisha oa mpaka sasa lakini baada ya muda wanakimbiaga ninahisi labda ni sababu hii.
Ninakwenda kukata tamaa kwa sababu nikienda mahospitalini huwa naonana na madaktari bingwa wa ngozi wanaitwa dematologists hawaoni fangus wala nini wanasema nina matatizo ya kisaikolojia. Mbaya zaidi kuna ambao wanasema ninanuka kweli na wengine wanasema sinuki lakini baada tu ya kuwaambia tatizo. Ubongo wa mwanadamu ni tanuru la giza. Mtu nimekutana naye hana hata mafua baada ya kukaa naye dakika mbili automatically anaanza kupiga chafya za kutosha mpaka kamasi zinamtoka anaziba na pua kabisa bila kujua chanzo ni mimi lakini baada ya kumwambia tu hali yangu basi ubongo wake ghafla unaziba mlango wa fahamu wa kunusa harufu anasema sina harufu na mafua pale pale yanapona na chafya zinakoma.
Mpenzi wangu aliwahi kuniambia ninanuka. Mama yangu aliwahi kuniambia nina nuka. Rafiki zangu wa karibu sana ambao tupo nao kila siku ofisi moja ni kama wamezowea harufu yangu imekuwa sehemu ya maisha yao kwa miaka sasa kwa hiyo pua zao ni kama zimeisha jeruhiwa kwa harufu yangu kwa hiyo ni sawa tuvlabda siku izidi sana ndiyo unaona wanateseka lakini kwa wafanyakazi wengine nilishawabamba wananiteta kuhusiana na harufu yangu.
Wengine walishauri nisuuze kwa maji ya ugali, wengine tumia mafuta ya nazi, vyote nimejaribu harufu iko pale pale. Jana kwa mara kwanza nimepata wazo la kuogea sabuni ya Omo ila cha moto nimekiona.
Naombeni msaada ndugu zangu.
Korodani zangu zinatoa sana harufu nimeanza kuogea Omo baada ya sabuni nyingine zote kudunda kuanzia detol, protex na kadhalika.
Korodani langu linatoa sana harufu huu ni mwaka wa 18 harufu haitaki kutoka. Mwanzo nilidhani labda ni fangus ambazo ni chronic lakini hakuna cha fangus wala nini nimepaka sana cream za fangus na kumeza dawa zake moja inaitwa zocon lakini hakuna kitu sio fangus bana.
Shuleni nilikuwa na tabia ya kuvaa chupi hata kama haijakauka vizuri kambani inakuja kukaukia mwilini. Ninahisi hicho ndiyo chanzo cha haya mateso yote. Nikikaa karibu na mtu hata kwa dakika mbili anaugua mafua pale pale na kupiga chafya za kutosha. Kabla sijanunua gari nilitesa watu wengi sana kwenye hizi daladala. Kila mtu alikuwa anahama siti yangu endapo atapata fursa ya kuhamia kwenye siti ya abiria mwingine aliyeshuka kwenye daladala. Hili ni janga ndugu zangu.
Kazini kuna AC za kutosha na huwa ninavaa boksa za pamba 100% lakini hakuna kitu. Korodani zangu hazina majira ya kiangazi, vuli, kipupwe wala masika iwe joto iwe baridi harufu ipo pale pale. Naogopa kukutana na watu. Ningekuwa nimeisha oa mpaka sasa lakini baada ya muda wanakimbiaga ninahisi labda ni sababu hii.
Ninakwenda kukata tamaa kwa sababu nikienda mahospitalini huwa naonana na madaktari bingwa wa ngozi wanaitwa dematologists hawaoni fangus wala nini wanasema nina matatizo ya kisaikolojia. Mbaya zaidi kuna ambao wanasema ninanuka kweli na wengine wanasema sinuki lakini baada tu ya kuwaambia tatizo. Ubongo wa mwanadamu ni tanuru la giza. Mtu nimekutana naye hana hata mafua baada ya kukaa naye dakika mbili automatically anaanza kupiga chafya za kutosha mpaka kamasi zinamtoka anaziba na pua kabisa bila kujua chanzo ni mimi lakini baada ya kumwambia tu hali yangu basi ubongo wake ghafla unaziba mlango wa fahamu wa kunusa harufu anasema sina harufu na mafua pale pale yanapona na chafya zinakoma.
Mpenzi wangu aliwahi kuniambia ninanuka. Mama yangu aliwahi kuniambia nina nuka. Rafiki zangu wa karibu sana ambao tupo nao kila siku ofisi moja ni kama wamezowea harufu yangu imekuwa sehemu ya maisha yao kwa miaka sasa kwa hiyo pua zao ni kama zimeisha jeruhiwa kwa harufu yangu kwa hiyo ni sawa tuvlabda siku izidi sana ndiyo unaona wanateseka lakini kwa wafanyakazi wengine nilishawabamba wananiteta kuhusiana na harufu yangu.
Wengine walishauri nisuuze kwa maji ya ugali, wengine tumia mafuta ya nazi, vyote nimejaribu harufu iko pale pale. Jana kwa mara kwanza nimepata wazo la kuogea sabuni ya Omo ila cha moto nimekiona.
Naombeni msaada ndugu zangu.