Haiwezekani! Wakati mwingine tatizo la kuhisi harufu huwa ni la kisaikolojia kuliko uhalisia.Pole sana kwa unayopitia hayo.Hili swala watu wengi wanalichukulia rahisi lakini kiukweli ni mateso makubwa mno.Mimi pia ni mhanga wa jambo kama lako kwa miaka 14 sasa kitu ambacho kimeniharibia utu na maisha yangu kwa ujumla.Naishi kama mnyama asiweza kujiswafi licha ya hali ya usafi ninayo kuwa nayo mda wote..i
Usiseme kirahisi rahisi tu kwamba huna fungus! Unajidanganya!Sina fangus wala chembe chembe za fangus lakini dawa za fangus nilitumia sana hola.
Pole mkuuu... naona umeshajitahidi saaana kupona lkn wapi.
Ulishawahi kuogea ukoko wa ugali??
Daaaah!! Ukifanya hivyo harufu inakata?Kwa kweli inaunguza sana. Leo nitajaribu nione tena. Nikishatumia omo huwa nakaa kwenye beseni kutuliza maumivu ya kuunguzwa. Omo ni kali sana unaweza sema unakatwa na wembe.
Achana na matumizi ya omo, naona kama unaongeza tatizo kwa namna moja au nyingine.....Fata ushauri wa wataalamu wa ngozi au afya ya uzazi..!Kwa kweli inaunguza sana. Leo nitajaribu nione tena. Nikishatumia omo huwa nakaa kwenye beseni kutuliza maumivu ya kuunguzwa. Omo ni kali sana unaweza sema unakatwa na wembe.
Hao wataalamu si ndio wanasema sina tatizo eti ni mawazo tu ndiyo yanayonisumbua.Achana na matumizi ya omo, naona kama unaongeza tatizo kwa namna moja au nyingine.....Fata ushauri wa wataalamu wa ngozi au afya ya uzazi..!
NB:Maombi nayo muhimu
Na inawezekana kweli hiyo harufu iko kichwani kwako tu.Hao wataalamu si ndio wanasema sina tatizo eti ni mawazo tu ndiyo yanayonisumbua.
Pengine Inawezekana, fanya utafiti binafsi.Hao wataalamu si ndio wanasema sina tatizo eti ni mawazo tu ndiyo yanayonisumbua.
Vipi kuhusu ibada?Achana na matumizi ya omo, naona kama unaongeza tatizo kwa namna moja au nyingine.....Fata ushauri wa wataalamu wa ngozi au afya ya uzazi..!
NB:Maombi nayo muhimu