Killmonger
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 2,014
- 2,231
Mkuu? Umejaribu kwenda kuoga bahari? Mida ya saa kumi na moja hadi 12 jioni. Mara saba kila siku. Pole sana
Ndio nimejaribu kumwambia hapo chini asisahau kuomba.Vipi kuhusu ibada?
Aisee pole sana.
Kuna siku nimekaa na mbaba mmoja kwenye basi nikawa nasikia harufu ya ajabu kweli sikuelewa elewa, nahisi nae ana tatizo kama hili
Tupo wawili..Mbona kama hi habari naiona humu jukwaani kwa mara ya pili. Je ni wewe au ni mtu mwingine kaibuka na hili tatizo.
Mkuu upo serious ama unatania. Haya ni maisha ujue.jipake mafuta ya bange
au tumia kiasi kidogo sana cha jik ukichanganya na maji kila ukioga
Nile nyama gani? Nike chakula kipi?Badili chakula utaleta mrejesho murua
Maji ya bahari yana nini?Mkuu? Umejaribu kwenda kuoga bahari? Mida ya saa kumi na moja hadi 12 jioni. Mara saba kila siku. Pole sana
mkuu pole sana, hilo wazo la kuogea omo achana nalo kabisa, niliwahi kutumia detol ya maji bila kumix na maji kupaka kwenye pu.mbu aisee CHA MOTO NILIKIONA.
Capo Dei Capi
Acha bas ni huyu professor nayemjua mimi?Sawa Mhe PARAMAGAMBA
Na inawezekana kweli hiyo harufu iko kichwani kwako tu.
Mkuu sikia ebu tunaomba picha ya eneo lililoathirika apo ndo utapewa matibabu sahihi kwan uwa atutibu kwa maelezo fanya ivyo kaka
Mafuta ya nazi nimetumia kama mwaka mzima hakuna kitu. Na ukiyatumia sana yanakuchana chana ngozi ya pumbu.Fuata huu ushauri Anza kutumia mafuta ya Nazi kujipaka asubhi na usiku ukitaka kulala. Paka sehemu za Siri kote halafu ulete feedback hapa.
Niliwahi kuogea ukoko wa ugali kwa muda wa mwezi mzima lakini hakuna unafuu wowote.Pole mkuuu... naona umeshajitahidi saaana kupona lkn wapi.
Ulishawahi kuogea ukoko wa ugali???
Yaaan ukishapika ugali, lile sufuria uloogea , weka maji acha yachangamane na ukoko kisha yaogeee hayo maji yakiwa ndani ya sufuria iloilo, hakikisha maji hayo yaukouko unayasafishia sehem ambazo harufu inatokea.
( nasikiaga wanasema inasaidia ).
Mkuu asante kwa hili. Nitakutafufa inbox tusaidiane namna ya kupambana na hili tatizo.Pole sana kwa unayopitia hayo. Hili swala watu wengi wanalichukulia rahisi lakini kiukweli ni mateso makubwa mno. Mimi pia ni mhanga wa jambo kama lako kwa miaka 14 sasa kitu ambacho kimeniharibia utu na maisha yangu kwa ujumla.Naishi kama mnyama asiweza kujiswafi licha ya hali ya usafi ninayo kuwa nayo mda wote..
Maji ya bahari yana nini?