Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,946
- 38,656
Mdogo wangu mwenye akili nyingi Ndg Humphrey Polepole hongera sana.
Mungu akubariki sana.
- Wakuu wa vyombo vya ulinzi na Usalama wanashirikiana na watawala haramu kuifisadi nchi
- Uchaguzi Mkuu 2025 ni haramu na batili
- CCM inakataliwa na wananchi.
- Vyombo vya dola vinatumika kama majeshi binafsi ya wataeala
- Kikwete ni mzizi na chanzo cha matatizo haya tunayopitia akishirikiana na wanamtandao
- Wananchi wachukue hatua maana hawana mtetezi wala mkombozi zaidi ya umoja wao
- REFORMS na RECONCILIATION ni sasa. Wananchi wasihadaike na ahadi hewa
- Huduma duni za afya ni makusudi ya viongozi ili wafisadi kupitia maisha yetu.
Mungu akubariki sana.