Zanzibar huduma za afya bure,why bara hakuna?
Jiwe alisema hii nchi ni tajir,kiukweli hatutumii tu rasimali za taifa vizur
Zanzibar Afya bure toka tupate uhuru, kabla ya hata muungano, Samia anahusikaje hapo?
Zanzibar huduma za afya bure,why bara hakuna?
Jiwe alisema hii nchi ni tajir,kiukweli hatutumii tu rasimali za taifa vizur
Sikulijua hilo ingawa naona siku hizi pia wameanza kutoa chakula kwa wagnjwaZanzibar Afya bure toka tupate uhuru, kabla ya hata muungano, Samia anahusikaje hapo?
Sina mihemko kwanini hatuigi mambo mazuriwe jamaa bana, kuna miaka mingi sana toka Zanzibar watokomeze maleria. acha mihemko kijana
Kama rais wetu anawajibika kubadilisha hii hali,au hapaswi kufanya hivyo??Zanzibar Afya bure toka tupate uhuru, kabla ya hata muungano, Samia anahusikaje hapo?
Na inavyooshesha mara baada ya uchaguzi,Samia yatamkuta ya Magufuli.Kama kweli alichosema Polepole kuwa Samia alitaka kumuondoa Nchimbi kwenye ugombea Mweza akatishwa akatishika.Mdogo wangu mwenye akili nyingi Ndg Humphrey Polepole hongera sana.
- Wakuu wa vyombo vya ulinzi na Usalama wanashirikiana na watawala haramu kuifisadi nchi
- Uchaguzi Mkuu 2025 ni haramu na batili
- CCM inakataliwa na wananchi.
- Vyombo vya dola vinatumika kama majeshi binafsi ya wataeala
- Kikwete ni mzizi na chanzo cha matatizo haya tunayopitia akishirikiana na wanamtandao
- Wananchi wachukue hatua maana hawana mtetezi wala mkombozi zaidi ya umoja wao
- REFORMS na RECONCILIATION ni sasa. Wananchi wasihadaike na ahadi hewa
- Huduma duni za afya ni makusudi ya viongozi ili wafisadi kupitia maisha yetu.
Mungu akubariki sana.
Kama rais wetu anawajibika kubadilisha hii hali,au hapaswi kufanya hivyo??
Hili siyo jeshi la polisi—ni genge la majambazi tu. Afadhali hata jeshi la sungusungu linafanya kazi kwa uadilifu zaidi kuliko hawa majambazi.
Polepole kashawateka watanzania wengihao maraisi 5 waliopita mlishindwaje kuwalaumu juu ya hilo mpaka awe yeye tu?
Kila zama zina wakati wake,nadhani mambo mengi yameharibika kipindi chake kiasi kwamba anafaa kubeba lawama ya kila kituhao maraisi 5 waliopita mlishindwaje kuwalaumu juu ya hilo mpaka awe yeye tu?
Walipandikiza mi umbu pale jangwani,mbu walizaliana kwa wingi sana. Nadhani ndio chanzo cha kuongezeka mambukizi mapya ya maralia.Ukisikiliza mzee wa kubananga kwakeli unapagawa
Inakiwaje Zanzibar hakuna Malaria halafu bara ipo,na raisi wa Muungano anatoka Zanzibar,iweje akubali sehemu moja ya Muungano iwe salama na sehemu nyingine is iwe salama
Jibu ni kwamba kuna biashara ya madawa ya wakubwa waendelee kupiga hela
Mwisho wa siku hatujui lengo hasa lilikuwa ni nini?Walipandikiza mi umbu pale jangwani,mbu walizaliana kwa wingi sana. Nadhani ndio chanzo cha kuongezeka mambukizi mapya ya maralia.
OMG..!!! Hakika nimejisikia vibaya mnoo.
Mdogo wangu mwenye akili nyingi Ndg Humphrey Polepole hongera sana.
- Wakuu wa vyombo vya ulinzi na Usalama wanashirikiana na watawala haramu kuifisadi nchi
- Uchaguzi Mkuu 2025 ni haramu na batili
- CCM inakataliwa na wananchi.
- Vyombo vya dola vinatumika kama majeshi binafsi ya wataeala
- Kikwete ni mzizi na chanzo cha matatizo haya tunayopitia akishirikiana na wanamtandao
- Wananchi wachukue hatua maana hawana mtetezi wala mkombozi zaidi ya umoja wao
- REFORMS na RECONCILIATION ni sasa. Wananchi wasihadaike na ahadi hewa
- Huduma duni za afya ni makusudi ya viongozi ili wafisadi kupitia maisha yetu.
Mungu akubariki sana.