NImeanza kukata tamaa

Kwa kweli nakubaliana kabisa na De Novo, hali ya nchi yetu inakatisha tamaa. Kila nikifikiri sipati jibu na sijui vizazi vijavyo itakuwaje. Elimu mbovu, biashara ni lazima uwe na mtaji mkubwa au utoe kitu kidogo ili usogee, hospitali ndio basi tena, polisi ukiwa na kesi ni lazima uwe na gari au hela ya petroli, ili mradi ni vurugu tu kila kona.
Kwa kweli na mimi nimekata tamaa. Naipenda kweli nchi yangu na sina mpango wa kuhama ila nachoka kabisa.
 
Lets rely on facts but not opinions be they yours or other's opinions.
We have facts that our country is poor,instead of depending on opinions that we can not eradicate poverty in our country
 
Lets rely on facts but not opinions be they yours or other's opinions.
We have facts that our country is poor,instead of depending on opinions that we can not eradicate poverty in our country

Shaycas... its relying on the fact that disappoint me more, anyway, i am relying on the fact that;
we are poor
we have accepted the poverty
we put "rubbish" to fight poverty
we sit back and laugh at poverty
we are not accountable
we are corrupt
we have poor mind-set
some first leaders know that most of our leaders are myopic
we all know what to do to kills poverty
yet we sit back and blame

the west pat of this is that; we have to rely on opinions to alleviate our problems
and these opinion come from the very same people in a pot thinking that they have all the answers

nimechoka, ngoja nipumzike, nile Jack Daniel, nipate movie, nikipata nguvu ntaanza tena, nikishindwa ntauza hadi viwanja vya makaburi nichukue changu mapema
 
Kazi na biashara zimekua synonym na rushwa na ni narda sana kuona mtanzania anaye-embrace rationality na morality!!!

Imekua NCHI YA KITU KIDOGO


No tupo wengi na mfano wa karibuulionao ni sie hapa wana JF ; vuguvugu letu si haba na nakuhakikishia mwangwi wake umefika mbali sana! Sikate tamaa!
 
No tupo wengi na mfano wa karibuulionao ni sie hapa wana JF ; vuguvugu letu si haba na nakuhakikishia mwangwi wake umefika mbali sana! Sikate tamaa!

Thanks Mkuu... ngoja tuangalie tutafika wapi ikiwa uchunguzi wa upotevu wa millioni 900 unaishia kwenye pingu na tunasahau pesa...

tumekua kama mende - ukimtisha ukapumua tu, ameshasahau anarudi
 
Ndugu MTM,

Naikumbuka sana ile thread!! Mie nipo kwenye mazoezi ya kuwa na roho ya kifisadi (umimi kwa wingi), in 24 -36 months nampango wa kulipindua......na kama anavyosema Mama Joe, Bongo opportunities kibao hasa biashara, lakini ndio lazima unapelekana nao hivyo hivyo kibongo bongo!! Kama trafiki inakuboa, basi unakuwa unaingia mjini na chopper...kama ulinzi unaona hautoshi basi una hire blackwater! Maji ya kunywa toka Sauzi, mayai China, sementi Pakistani, maziwa Kenya e.t.c!! Bongo tambarare!

Yes! Explore every opportunity that comes your way, and do as best as you can, mradi sivunji sheria. Mie ninachoka kuna wakati lakini kwenu Sipo, First Lady and De Novo siwezi kukata tamaa... Try to look around you...
 
To quote Chinua Achebe... "The Beautiful ones are not yet Born..." Hii ni tumaini tosha kwamba there is hope and its starts with coming generation. Be a master of your own destiny... tusisubiri mabadiliko sisi wenyewe tubadilike...
 
KWa miaka kama nane sasa napambana na kujifariji kwamba bongo inaaza kusimama, nikajipa moyo kwamba tutasonga mbele hasa baada ya slogan ya ari mpya nguvu mpya na kasi mpya

vilevile wamarekani na other first world wamejaribu sana kututengenezea mazingira ya ajira humuhumu nchini tena kwa kutushawishi kutokea makwao tulipokua "tunatafuta"

Nilipambana sana kwenye ile thread ya educated immigrants, bongo tambarare, etc. lakini naona kama gesi yangu inaisha

sioni dalili za nguvu za kusema kwamba tunasimika taratibu mpya za maisha na levels of efforts za watendaji wa serikali zinanivunja moyo!!!

Tuliahidiwa na "mtaalam JK tujiunge kwenye professional groups tupate platform --- trust me, hali ni ileile!!! even the groups zilizopo zinaenda ki-Freemasons

Naanza kutamani tena kupiga maboksi, kuangalia elevators, kupita kwenye barabara safe na kuepuka hasira za daraja la kigamboni, nililoona mchoro kwaka 2007,

I AM LOSING HOPES DESPITE ALL MY INDIVIDUAL EFFORTS NA KUKESHA KUJIPENDEKEZA KUFANYA KAZI.... TENA HILO NDIO LIMENIMALIZA KABISA KWANI NDIO NAONEKANA MBAYA

Endelea kustahamili kidogo Mkuu kabla ya kuamua kurudi kubeba box...LOL! (I am joking)...lakini hiyo awamu ya pili inayokuja ndiyo itakuwa na madudu ya kutisha maana jamaa atakuwa mguu na njia ili kujiingizia per diem allowance nyingi kadri atakavyoweza ili kujiweka tayari na mwisho wa awamu yake hapo 2015. Wewe si wa kwanza kukata tamaa, wengine pia walijaribu sana na wakaishia kunyoosha mikono juu na kuangalia usawa mwingine.
 
De Novo mie ni kama vile naelekea kuungana na wewe ...
:(
Mie nilishajikatia tamaa na nji hii LONG TIME AGO.....but still naipenda nchi yangu ingawa leo hii sio nchi ile iliokuwa na Mwatex,kiltex,mutex na viwanda kibao,sasa hivi ni kila kitu ni made in China et al.....inauma sana.
 
Endelea kustahamili kidogo Mkuu kabla ya kuamua kurudi kubeba box...LOL! (I am joking)...lakini hiyo awamu ya pili inayokuja ndiyo itakuwa na madudu ya kutisha maana jamaa atakuwa mguu na njia ili kujiingizia per diem allowance nyingi kadri atakavyoweza ili kujiweka tayari na mwisho wa awamu yake hapo 2015. Wewe si wa kwanza kukata tamaa, wengine pia walijaribu sana na wakaishia kunyoosha mikono juu na kuangalia usawa mwingine.

cousin,

ukweli ni kwamba napambana na nafsi yangu kwenye kila jambo!! halafu huwezi amini, eti nimeanza kukosa usingizi kabisaa jinzi nionavyo mambo yanavyokwenda

juzijuzi nilijifanya na mie kidume kwenda kutafuta ardhi.... hati imekua ndoto
nikapita tanesco kubadili tu nyumba kuwa three phases --- ilikuwa september 9 hadi leo
maji ndio usiseme--- wanakuja christmas even mchana ili uhonge wakuachie, nahisi tunaishi kama tumbili aisee... timing everywhere

siasa, uchumi, utamaduni na technolojia vyote naona kama tunapiga hakua nyuma kwa kasi

hata lile jukwaa letu la mahaba linaonyesha kuna huzuni nyingi kwenye maisha yetu kuliko furaha

hali hii mpaka lini?
 
Mie nilishajikatia tamaa na nji hii LONG TIME AGO.....but still naipenda nchi yangu ingawa leo hii sio nchi ile iliokuwa na Mwatex,kiltex,mutex na viwanda kibao,sasa hivi ni kila kitu ni made in China et al.....inauma sana.
huko ndio usiseme... kuna bora, ufi, urafiki, sukita, stamico, tafico, nasaco, rtc, yaani ngoja tuchape last shot!!!

lets take the biggest breath tujaribu mara ya mwisho
 
huko ndio usiseme... kuna bora, ufi, urafiki, sukita, stamico, tafico, nasaco, rtc, yaani ngoja tuchape last shot!!!

lets take the biggest breath tujaribu mara ya mwisho

Labda JKN arudi !!!lakini sio hawa ccm uwajuao.mara ya mwisho nayo ilishapita long time,kwani kujaribu mwisho mara moja.
 
ci unakumbuka vile viwanda vya kusindika nyama, kama pale Tanganyika Packers.... sasa pamebaki magofu tu, nyama tunakula za super market kutoka ulaya, wafugaji kule Kilosa hawajulikani walikotoka na hajui wanakokwenda.
loliondo wamechomwa moto, wengine wamehamishiwa huko kusini kwenyewe hakuna malisho wala maji, pale walipoondolewa toka bonde la Ihefi
 
Yaani nimerudi leo kutoka kwenye ujenzi wa taifa letu changa, kila nikiangalia pembeni najisikia kuchoka, napoteza hamu ya kazi, napoteza utamu wa maisha, nimeishia kuongeza volume ya alcohol na hata kale ka-sukari kameanza kujaa tena

Namuomba mungu nipate nguvu za pigo la mwisho niweze kumchomoa huyu shetani anayenishinda nguvu siku hadi siku

tatizo advocates wa shetani huyu ni wanasiasa, wengi wao ni dnugu zetu!!!

lord have mercy
 
Shetani wakukatamaa akapate kushindwa. Sasa huta kata tamaa tena. Hakuna sehemu salama duniani kwa sasa hata ukienda India kusoma watachomoa viungo vyako vya mwili.
 
Yaani nimerudi leo kutoka kwenye ujenzi wa taifa letu changa, kila nikiangalia pembeni najisikia kuchoka, napoteza hamu ya kazi, napoteza utamu wa maisha, nimeishia kuongeza volume ya alcohol na hata kale ka-sukari kameanza kujaa tena

Namuomba mungu nipate nguvu za pigo la mwisho niweze kumchomoa huyu shetani anayenishinda nguvu siku hadi siku

tatizo advocates wa shetani huyu ni wanasiasa, wengi wao ni dnugu zetu!!!

lord have mercy

wengi tunaipenda nchi yetu na tunapenda tuione ikisonga mbele lkn ndio kama hivyo hatuna viongozi wenye wito na utu.uongozi ni tz ni biashara,watu wanamalengo yao ya kula kwa wingi kadri wawezavyo.maisha ya watz yanazidi kuwa machachu kila siku.sio wewe tu kaka yangu uliyokata tamaa,tena bora wewe bado una nguvu za kulalamika wapo ambao hata kulalamika wameshachoka na wamebaki wakitizama tu bila matumaini.kusema ukweli mimi naamini kabia kwamba hii nchi haitabadilika ngoo kama hapatatokea kitu cha kisicho cha kawaida kuleta mapinduzi maana ccm haitakubali kamwe atokee rais asiye mtu wao maana kama tujuavyo marais wetu wote wako kibiashara zaidi huko ikulu ndo maana tutaishia tu kusikia sijui mkapa anahusishwa na kashfa hii lkn hatachukuliwa hatua yeyote maana kikwete anamlinda,kikwete akiondoka naye atataka wa kumlinda yeye na wenzake.hata hivyo kwa jinsi watu walivyochoka na kupoteza subira naona kabisa mapinduzi yasiyo ya kiamani yakinukianukia pamoja na kwamba ccm wanajitahidi kuwatisha watu na kauli zao za ccm ndio chama cha kudumisha amani.ila kaka jitahidi kupunguza volume ya kilaji tena kumbe una na sukari jamani tunakuhitaji.tusiwategemee hawa viongozi wetu tupambane kivyetuvyetu kujitafutia maisha bora.
 
Back
Top Bottom